Kinachochemshwa ni maziwa tu,yakishapoa unayatumia badala ya maji wakati wa kusaga juice. Vingine vyote vinakuwa vibichi na juice hiyo nikishaitengeneza tu nainywa pasipo kuiweka kwenye jokofu.Huu mchanganyiko unachemshwa au vipi [ maana isipochemshwa maziwa yataharibika mapema]
Kulikoni?[emoji22]mimi nguvu sizitaki kabisa.
natamani nisiwe nazo kabisa niwe kama gogo[emoji22]
[emoji22]mimi nguvu sizitaki kabisa.
natamani nisiwe nazo kabisa niwe kama gogo[emoji22]
nifafanulie hivyo vitu dada, na pia, kiwango gani unaweka just kumsaidia mama watoto. akitokaga kujifungua anapata hilo tatizo.Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!
Wadau leo ni siku ya 5 tangu nichukue hizo hatua 4 za hapo juu naam, nguvu za kike zimerudi vibaya mno, hamu ya kufanya mapenzi ambayo ilipotea kwa miaka 3 imerudi. Wadau nawashukuru sana kwa ushauri wenu na kunitia moyo,hakika nimefurahi sana kwani nimeteseka kwa hii hali kwa muda mrefu.
Kwa namna ya pekee nawashukuru sana wadau hawa FaizaFoxy, luse, valuablecock, Kiyawi, Tarakilishi, Raphael wa Ureno, @kulubuke, Lovery, muggyen, Lady peace, manyusi, Ngozi Joram, Mentor, Sonko Jr. na wengineo wote mlioguswa na tatizo langu kwa namna moja ama nyingine.
basi tu sizitaki.. nna mambo mengi yananivurugaEmbu nieleze tatizo lako nikusaidie.
basi tu sizitaki.. nna mambo mengi yananivuruga
Usiruhusu mambo yatakayo haribu asili yako mamy, maana ipo siku utajikuta unatumia gharama kubwa kuitafuta furaha yako. Maisha haya ni mafupi mno jipe raha,furahia kila sekunde unayoishi hapa duniani. Anyway pole kwa kuvurugwa.basi tu sizitaki.. nna mambo mengi yananivuruga
Kama uko Dar es salaam vitu vyote hivyo isipokuwa maziwa fresh na kokwa la parachichi vinapatikana kariakoo kwenye duka moja hivi lililopo mkabala na soko la kariakoo linauza viungo vya pilau.nifafanulie hivyo vitu dada, na pia, kiwango gani unaweka just kumsaidia mama watoto. akitokaga kujifungua anapata hilo tatizo.
- tende (nazijua na zipo nyingi)
- lozi, (hiki ni kitu gani, sijawahi sikia wala kukiona)
- mdalasini, (hiki ni kitu gani?)
- zabibu kavu, (kavu zinapatikana wapi)
- kitunguu maji,
- kitunguu saumu,
- kokwa la parachichi,
- tangawizi,
- asali mbichi na
- maziwa fresh pasipo kutia hata tone la maji
asanteeUsiruhusu mambo yatakayo haribu asili yako mamy, maana ipo siku utajikuta unatumia gharama kubwa kuitafuta furaha yako. Maisha haya ni mafupi mno jipe raha,furahia kila sekunde unayoishi hapa duniani. Anyway pole kwa kuvurugwa.
sawaPole sana ila kumbuka kila kitu kina mda wake. Jaribu kutulia na kupangilia mambo yako.
pitia thread zanguEmbu nieleze tatizo lako nikusaidie.