Kuna bibi mmoja yupo hapo Morogoro maeneo mang’ura Kwa chini kidogo vijiji vitatu au vinne kutoka hapo uhakika kabsa ila nilifuta namba zake na kuwaacha jamaa zangu walionishinikiza twende kwa mganga kutafuta utajiri mimi sikutaka wao walikuwa na nia kweli na leo ni matajiri na nna uhakika kabsa utajiri wamepewa na huyo bibi
Ana utajiri wa pete- hii pete unaongea nayo yaani kama binaadamu mwenzako unataka nini? Na inakupatia hii pete ina mashart mengi sana yaani- sio nzuri
Ana utajiri wa kuoza - hii mnatakiwa muwe wawili na anawapa na dawa ya kuoza yaani zamu zamu kuoza uafunga mlango unampaka hivyo vimaji mwenzako sijui vimafuta then unamfungia mlango anaanza kuoza wale wadudu wanaotoka ndio wanakuja geuka pesa unaoza siku 3 mwenzako anachota wale funza na kuwajaza kwenye beseni au jaba baada ya siku tatu wanageuka elf 10 , 10 na zamu yako ikifika hivyo hivyo
Ana utajiri wa nyoka- unatakiwa uwe wewe na mke wako nyoka mnamfungia chumbani na kila baada ya mda unatakiwa umpeleke mke wako kwenye hicho chumba nyoka amlambe ukeni mke wako mpaka anaporidhika na pesa zinamiminika baada ya mda
Kutoa kafara wazazi- hapa ndio alinifanya nikatae utajiri wa kiganga yaani nitoe kafara baba na mama yangu nipate pesa- sikuweza hata kuvumilia kukaa kusikiliza tajiri zingine niliomba kuondoka, nawapenda sana wazazi wangu aisee japo kuwa watu wazima waache waendelee kuishi mpaka M/Mungu atapowapitishia nusra yake.. nilisepa
Tulienda na kukutana kwenye biashara na ndio tulikutana na kushahuriana kwenda kwa huyo mganga na tulienda na mimi niliwaacha wenzangu sasa hivi ni matajiri mbaya aisee na nawaogopa hata namba zao sizitaki aisee coz najua fika utajiri wao sio