Mrejesho wa connection za wataalam (waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe heshima yake

Mkuu umelia Sana kwenye huu Uzi wako
 
hAPANA AISEE USIMPE BHANA BROE ATAMALIZA FAMILIA YETU MM NAYEYE NI NDUGU WADAM KABISA HAKAWII KUMUONDOA BMKUBWA
 
mkuu naomba unitumie namba pm ya huyo mtaalam ninashida kwakwel
 
Vipi ule wa punje za mkataba wa utajiri,Hivi kweli upo?
Huo uchawi upo mbele ya Ilula, kijiji kimoja kinaitwa Nigeria ndogo (jina lake la Aslil nimesahau), wapo wataalam wakinga hapo ni balaa ila ni wa kweli. Sema uchawi wa kikinga wengi hawautaki, una masharti zaidi ya magumu yaani. Nishafika huko kipindi najitafuta, acha mzee, maisha haya tushateseka sana, mtu akikukuta unajipata anatamani ila njia ni ngumu sana.
 
Binafsi sihitaji pesa ya mazingaombwe....ila nahitaji zindiko la kuzuia wizi wa mali zangu, au dawa ya kuwanasa wezi....kma kuna mtu mwenye connection ya uhakika yaani mtaalamu anayeweza kunisaidia kuzuia kuibiwa anisaidie
Mbona shida yako ndogo hivyo, bagamoyo tu unamaliza.
 
Hawa wanataka utajiri wa ndagu sio zindiko za kukuza biashara, ukijua tofauti huwezi andika huo upupu ulioandika.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…