AmorePowers
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 700
- 1,142
Mbona huwa mnasema watu wasijudge maandishi?mimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
Unanikumbusha Karimu mpaka tunapotezana advance hata mabusu hakuna ha ha ha ha halafu classmates mpaka leo hawaaminigi jamani mwe mwe mwe ila sahivi mhhh majanga tu unakutana na matapeli mpaka ukitoka kuonana nae unajicheka,Mahaba yalikuwa so pure so true afu mnaweza msipigane hata mabusu mpaka mnaachana!
Yani unapokea kadi tumbo la chini unapata butterflies!
Roho inaenda mbiiio
Unaamua ujianzishie uzi tu[emoji12]Sijawahi kufika huko sijui zaidi yanayoandikwa ila nahisi wanatoana huko huko kulingana na mada za huko,
Lakini mtu haiwezekani ukaanzisha uzi mf; wadada wa jf wabaya, mara sijui wadada wa jf maharage ya mbeya, zikiwa nyuzi za kuwaponda wanawake wewe ndio kinara unapoooonda mpaka unasahau kama ulizaliwa na mwanamke halafu hapo unamfata mwanamke PM akishasoma unayochangia jukwaan ndio hayo unahisi atakukubali kweli??
Vaa viatu vyake.
Mm naww tena chukua tu mrembo..NAIOMBA HII kaka!
tafadhali!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaapua ujianzishie uzi tu[emoji12]
Inategemea kaandika nini. Kuna mtu anaandika jambo hilo hilo kila siku utasema hamaanishi kweli? Mtu anaetukana wenzie anaedhalilisha ni tabia yak.Mbona huwa mnasema watu wasijudge maandishi?
aaah safi tu nilikumiss sijakuona kitambo, pole na majukumu ya hapa na palePoa mkuu habari yako
Usinikumbushe sana naweza kuliaaaUnanikumbusha Karimu mpaka tunapotezana advance hata mabusu hakuna ha ha ha ha halafu classmates mpaka leo hawaaminigi jamani mwe mwe mwe ila sahivi mhhh majanga tu unakutana na matapeli mpaka ukitoka kuonana nae unajicheka,
cc imfikie odo snowhite
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaapua ujianzishie uzi tu[emoji12]
upo sahihi kuna drama ilitokea juzi humu inanihusu mie demiss na shunnie nikawaza ina maana ningeendekeza tu na mie ningeanikwa kwa kweli pm huwa najibu mara 2 nkichat na wewe mda mrefu sana nimekusoma na ninakuheshimu kuna mijitu mitindiga sana humu yaanimimi huwa naanza kumjudge mtu anavyoandika jukwaani kwahiyo akija pm namuona yule yule tu. Na hata kwa kuangalia tu wanaoandika jukwaani madudu hata wakija pm baadae huwa wanayarudisha ya pm jukwaani.
Nimmkumbuka mtu mmoja anataka kuchat huku anasema wadada w jf mnajidai sana mpo juu kila mtu mwananume wake ana hela mna maisha mazuri sisi wengine hatuwawezi yet kila siku unachat nae unajitahidi kumuweka sawa asijiskie mnyonge ila anakuprovoke mpaka unaona hii sasa kero au analeta kaunafiki fulani hivi unataka mchat hata stori ila killa saa kusema wadada wa jf fyokofyoko mimi kama dada wa jf nitajiskiaje aaaaaaNaam, kama anaongea pumba jukwaan lazima tu hata private awe yule yule na sio private hata maisha yake halisi anavyoishi lazima ndio yawe ya hivyo hivyo, wachache sana wanaoweza kuishi maisha ya aina mbili yaan kwenye mtandao akawa rude lakini kwenye maisha halisi akawa polite.
Wachache sana.
Asante mkuu wangu nilikumiss pia vyuma vimekaza mpaka mda wa kuingia jf nakosa tupo pamojaaaah safi tu nilikumiss sijakuona kitambo, pole na majukumu ya hapa na pale
'Mijitu mitindiga' Kilosa kuna kijiji nilifika kinaitwa Tindiga,karibu na Mikumiupo sahihi kuna drama ilitokea juzi humu inanihusu mie demiss na shunnie nikawaza ina maana ningeendekeza tu na mie ningeanikwa kwa kweli pm huwa najibu mara 2 nkichat na wewe mda mrefu sana nimekusoma na ninakuheshimu kuna mijitu mitindiga sana humu yaani
Tena siyo mwandiko tu mpaka "maudhui" ya huu "uzi" ni kama ya Vlad kabisa, kila kitu kimefanana, mimi nahisi huyu ni yule yule Vlad anawachezea watu akili humu ndani. Watu wanatafuta "kick" mpaka humu JF, lakini JF ni raha sana duh!mbona kama mwandiko ni ule ule
Andika tu shosti toa la moyoni,kuliko kukaa nalo.Ngoja na mm niandike uzi wangu kwa Yule Jamaaa maana ashaniteka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji8]
upo sahihi kuna drama ilitokea juzi humu inanihusu mie demiss na shunnie nikawaza ina maana ningeendekeza tu na mie ningeanikwa kwa kweli pm huwa najibu mara 2 nkichat na wewe mda mrefu sana nimekusoma na ninakuheshimu kuna mijitu mitindiga sana humu yaani