Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Yani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??

wonders hazitoisha dunia hii
Hakohako kalikochakaa ndo usingizi wangu,hujiulizi inakuwaje kichaa anapata mimba na anazaa,au haujawahi ona vichaa me na ke wanaishi pamoja hata jalalani na wanazaa kitu upendo tu,ukiona wanini wenzio wanawaza watampata lini.
 
Sisi tulikuwa tunapeana kadi yaan mtu anaenda Myfair pale ananunua kadi nyingi anakupa wewe unaniandikia mimi na mimi nakuandikia wewe tunapeana na ukiandika sijapenda nakuambia hapa ongeza hivi na hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utakuta vladmirovich ndo huyo huyo african princess
 
Sisi tulikuwa tunapeana kadi yaan mtu anaenda Myfair pale ananunua kadi nyingi anakupa wewe unaniandikia mimi na mimi nakuandikia wewe tunapeana na ukiandika sijapenda nakuambia hapa ongeza hivi na hivi
hahaha... shule kuna raha saana.

Fly but stop to Daby.
Hizi zilikuwa zinasomwa Tupo kwa line jioni.

ukijua una barua unasimama nyuma ili waisome mara mbili mbili...

Cc Saint Ivuga
 
hahaha... shule kuna raha saana.

Fly but stop to Daby.
Hizi zilikuwa zinasomwa Tupo kwa line jioni.

ukijua una barua unasimama nyuma ili waisome mara mbili mbili...

Cc Saint Ivuga
Aaaaa acha tu juzi nlikuwa napanga kabati langu la vitabu nikakuta kadi za aina hiyo nlicheka sana na kuna zile karatasi zilikuwa maalumu za kuandikia barua katikati zina kopa
 
Back
Top Bottom