Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Hahaha [emoji23] [emoji23] nitajitahidi alafu kwenye kale ka mchezo tutavaa miwaniUtaniweza lakini maana mimi mwenyewe domo cement
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha [emoji23] [emoji23] nitajitahidi alafu kwenye kale ka mchezo tutavaa miwaniUtaniweza lakini maana mimi mwenyewe domo cement
Mkuu hizi zali huwa zinawenyeweKo ko koooooo i wish namm nyota iniangukie[emoji8][emoji8]
wadada wa MMU ... Mniangushie nyota basi mweee
Hahaha, tuzizoee tuDrama zimeanza tena
Km series vile kila wiki inatoka mpya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] watu wanabadilisha tu ussername wanatengeneza drama
Utaambiwa tuanzishe uzi wetuHahaha [emoji23] [emoji23] nitajitahidi alafu kwenye kale ka mchezo tutavaa miwani
Duh,kumbe unamjua?Yani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??
wonders hazitoisha dunia hii
Hakohako kalikochakaa ndo usingizi wangu,hujiulizi inakuwaje kichaa anapata mimba na anazaa,au haujawahi ona vichaa me na ke wanaishi pamoja hata jalalani na wanazaa kitu upendo tu,ukiona wanini wenzio wanawaza watampata lini.Yani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??
wonders hazitoisha dunia hii
Nimefurahi mkuuMbona unacheka mkuu
Sisi tulikuwa tunapeana kadi yaan mtu anaenda Myfair pale ananunua kadi nyingi anakupa wewe unaniandikia mimi na mimi nakuandikia wewe tunapeana na ukiandika sijapenda nakuambia hapa ongeza hivi na hiviAu unajitumia kadi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tulikuwa tunapeana kadi yaan mtu anaenda Myfair pale ananunua kadi nyingi anakupa wewe unaniandikia mimi na mimi nakuandikia wewe tunapeana na ukiandika sijapenda nakuambia hapa ongeza hivi na hivi
Unaonekana unakajua eeehhhh ??weka picha basiiii hapa watu tukaoneYani ipo siku mtapendana hadi na mbuzi,yani kale katoto kalichochakaa vile nako kanapata mtu hadi wakumuanzishia uzi??
wonders hazitoisha dunia hii
Aaahhh duuh naumejua kufurah mkuuNimefurahi mkuu
Kwani humfahamu[emoji12]
Lol...[emoji23][emoji23][emoji23]Duh, nakumbuka tukiwa shule barua zilikuwa zinasomwa dining, wale tusioandikiwa barua sometimes tunajiandikia tunampa msomaji anaisoma.
hahaha... shule kuna raha saana.Sisi tulikuwa tunapeana kadi yaan mtu anaenda Myfair pale ananunua kadi nyingi anakupa wewe unaniandikia mimi na mimi nakuandikia wewe tunapeana na ukiandika sijapenda nakuambia hapa ongeza hivi na hivi
Aaaaa acha tu juzi nlikuwa napanga kabati langu la vitabu nikakuta kadi za aina hiyo nlicheka sana na kuna zile karatasi zilikuwa maalumu za kuandikia barua katikati zina kopahahaha... shule kuna raha saana.
Fly but stop to Daby.
Hizi zilikuwa zinasomwa Tupo kwa line jioni.
ukijua una barua unasimama nyuma ili waisome mara mbili mbili...
Cc Saint Ivuga