Mrejesho wa kumuona mwenza wako kwenye kioo!

Mrejesho wa kumuona mwenza wako kwenye kioo!

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.

Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na kaniki nyekundu.

Hivyo niliwasha mishumaa kuzunguka kioo nikapanga uwaridi na kujifunga kaniki nyekundu. Kisha nikachukua tufani jekundu na kuanza kula huku nikitizama kioo na kuchana nywele zangu, ilinichukua kama dakika 2 hivi nikaona mwanamke amesimama mbele yangu, yaani tunatizamana nilipo jaribu kuhamaki na kupepesa macho sikumuona tena.

Nikarudia mara pili, sa hii nikaamua kuongeza na uturi na habbat soda ili nione tamati yake. Lakini cha miujiza nilipoanza kutizama tena kioo kilitingishika na kupasuka na ile mishumaa ikazima ghafla. Imenibidi nikimbilie main switch tena niwashe maana naona mauza uza tu.

NB: Niliingia saiti ili nijionee kama tomaso na nimeleta feedback, feel free na wewe kujaribu it's fun 😊 though!

MY TAKE: Mi binafsi nahisi ni hallucinations na wala hamna ukweli wowote ila kioo kupasuka na mishumaa kuzima nimehisi labda ni upepo ambao ulipiga ghafla.

Ila ni hallucinations, kwasababu baada ya kuwasha taa nimejaribu tena hilo zoezi kwenye kioo cha bafuni nikajiangalia bila kupepesa kope, kiufupi sura iliotokea siitambui ila sio mimi! Kwahyo ni hallucinations zinazobadili imaginations kwenye kichwa.

UZI WA Rakims huu hapa chini.
Thread 'Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye' Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye
 
Naona Mwanetu una practice witchcraft ukidhani ni Tricks na tips kama nyuzi zao zinavyosema.
Nilikuwa nataka kujua kama ni kweli. Ila hi kitu ni strange sana na nahisi inahusisha nguvu za giza maana hata mwanamke unayemuona sio wa kawaida na mwili unahisi wa baridii na kama ganzi inakushika. Halafu kuna vipele vya baridi vile vinatokea. Ila mwanamke kutokea anatokea ila sio wa kawaida kwa kweli.
 
Nilikuwa nataka kujua kama ni kweli. Ila hi kitu ni strange sana na nahisi inahusisha nguvu za giza maana hata mwanamke unayemuona sio wa kawaida na mwili unahisi wa baridii na kama ganzi inakushika. Halafu kuna vipele vya baridi vile vinatokea. Ila mwanamke kutokea anatokea ila sio wa kawaida kwa kweli.
Be carefully Mwanetu utafungua milango utakayoshindwa kufunga.
Unatakiwa uwe na big picture ya hicho ulichokiona kwenye thd kutoka kwa watu tofauti wenye mitazamo tofauti na kufkia kuwa na saturation point kabla ya kuingia ukiwa na half told stories.
 
Be carefully Mwanetu utafungua milango utakayoshindwa kufunga.
Unatakiwa uwe na big picture ya hicho ulichokiona kwenye thd kutoka kwa watu tofauti wenye mitazamo tofauti na kufkia kuwa na saturation point kabla ya kuingia ukiwa na half told stories.
Uko sawa za kuambiwa changanya na zako. Hapa nimemkumbuka yule mzungu wa mapango ya amboni aliepotea ila mbwa wake akapatikana Kilimanjaro.
 
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.

Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na kaniki nyekundu.

Hivyo niliwasha mishumaa kuzunguka kioo nikapanga uwaridi na kujifunga kaniki nyekundu. Kisha nikachukua tufani jekundu na kuanza kula huku nikitizama kioo na kuchana nywele zangu, ilinichukua kama dakika 2 hivi nikaona mwanamke amesimama mbele yangu, yaani tunatizamana nilipo jaribu kuhamaki na kupepesa macho sikumuona tena.

Nikarudia mara pili, sa hii nikaamua kuongeza na uturi na habbat soda ili nione tamati yake. Lakini cha miujiza nilipoanza kutizama tena kioo kilitingishika na kupasuka na ile mishumaa ikazima ghafla. Imenibidi nikimbilie main switch tena niwashe maana naona mauza uza tu.

NB: Niliingia saiti ili nijionee kama tomaso na nimeleta feedback, feel free na wewe kujaribu it's fun 😊 though!

MY TAKE: Mi binafsi nahisi ni hallucinations na wala hamna ukweli wowote ila kioo kupasuka na mishumaa kuzima nimehisi labda ni upepo ambao ulipiga ghafla.

Ila ni hallucinations, kwasababu baada ya kuwasha taa nimejaribu tena hilo zoezi kwenye kioo cha bafuni nikajiangalia bila kupepesa kope, kiufupi sura iliotokea siitambui ila sio mimi! Kwahyo ni hallucinations zinazobadili imaginations kwenye kichwa.

UZI WA Rakims huu hapa chini.
Thread 'Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye' Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye


Rakims ni muongo nilimuambia anitupie jini akashindwa kwa kisingizio eti anataka jina langu halisi alifanyie kazi, mimi nikamuambia jina langu halisi ni Mokaze, hadi leo kashindwa kunitupia kombora.😀😀
 
Nilikuwa nataka kujua kama ni kweli. Ila hi kitu ni strange sana na nahisi inahusisha nguvu za giza maana hata mwanamke unayemuona sio wa kawaida na mwili unahisi wa baridii na kama ganzi inakushika. Halafu kuna vipele vya baridi vile vinatokea. Ila mwanamke kutokea anatokea ila sio wa kawaida kwa kweli.
Unajitafutia mabalaa,siyo kila unacho ambiwa ujaribu
 
Nimekubali curiosity killed the cat! Huyu jamaa sijui nia yake ilikuwa nini ila ni mambo ya giza mtu asijaribu. Maana hakuna mwanamke wa dizaini hiyo hapa duniani 😏
Mmhh ila nawe una roho ngumu 🙌🙌,huo ujasiri wa kufanya hayo yote usiku Tena gizan,mbaya zaidi mpka kioo kinapasuka upo tu na likitana lako unachana hio mwinywele yko unaendelea kujaribu?
 
Nilikuwa nataka kujua kama ni kweli. Ila hi kitu ni strange sana na nahisi inahusisha nguvu za giza maana hata mwanamke unayemuona sio wa kawaida na mwili unahisi wa baridii na kama ganzi inakushika. Halafu kuna vipele vya baridi vile vinatokea. Ila mwanamke kutokea anatokea ila sio wa kawaida kwa kweli.
Chunga sana man,mambo ya sirini yabaki sirini ukiyafichua kwa namna ya giza yatakuletea shida maishani mwako mpaka kuzikwa,iamini nguvu ya MUNGU pekee iletayo kuokolewa popote uliitiapo jina la Yesu Kristo
 
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.

Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na kaniki nyekundu.

Hivyo niliwasha mishumaa kuzunguka kioo nikapanga uwaridi na kujifunga kaniki nyekundu. Kisha nikachukua tufani jekundu na kuanza kula huku nikitizama kioo na kuchana nywele zangu, ilinichukua kama dakika 2 hivi nikaona mwanamke amesimama mbele yangu, yaani tunatizamana nilipo jaribu kuhamaki na kupepesa macho sikumuona tena.

Nikarudia mara pili, sa hii nikaamua kuongeza na uturi na habbat soda ili nione tamati yake. Lakini cha miujiza nilipoanza kutizama tena kioo kilitingishika na kupasuka na ile mishumaa ikazima ghafla. Imenibidi nikimbilie main switch tena niwashe maana naona mauza uza tu.

NB: Niliingia saiti ili nijionee kama tomaso na nimeleta feedback, feel free na wewe kujaribu it's fun [emoji4] though!

MY TAKE: Mi binafsi nahisi ni hallucinations na wala hamna ukweli wowote ila kioo kupasuka na mishumaa kuzima nimehisi labda ni upepo ambao ulipiga ghafla.

Ila ni hallucinations, kwasababu baada ya kuwasha taa nimejaribu tena hilo zoezi kwenye kioo cha bafuni nikajiangalia bila kupepesa kope, kiufupi sura iliotokea siitambui ila sio mimi! Kwahyo ni hallucinations zinazobadili imaginations kwenye kichwa.

UZI WA Rakims huu hapa chini.
Thread 'Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye' Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye
Lakini Poker hakuna kaniki nyekundu... Kaniki ina rangi moja tu nyeusi
 
Naonaga nyuzi humu ndani sijui Kundalin mara Yoga mara Meditation ila ukichimba unaonana watu wanuzana peupe pee.. Hakuna kitu kibaya kama kujikabidhi nafsi yako kwa kujaribu usilojua.
Unaweza kuwa kile ulicho practice.
Mkuu Acha hofu vitu vingne ni vya kawaida mno .
 
Back
Top Bottom