Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani kwahiyo ulie muona kwenye kioo ndo mke wako? Kama ukikutana nae live kesho utamkumbuka?Nilikuwa nataka kujua kama ni kweli. Ila hi kitu ni strange sana na nahisi inahusisha nguvu za giza maana hata mwanamke unayemuona sio wa kawaida na mwili unahisi wa baridii na kama ganzi inakushika. Halafu kuna vipele vya baridi vile vinatokea. Ila mwanamke kutokea anatokea ila sio wa kawaida kwa kweli.
Ninamuona kwenye kioo changu kila asiku. Amechuma majani na kuyatengeneza mfano wa ua. Huyu ndiye mwanamke ninaye mpenda sana.Bujibuji Simba Nyamaume njoo huku rafiki usome na ww ukajaribu bahati yko,au hutak mpenz wa mauzauza?
😆😆😆 😆 ila ww 🙌🙌Ninamuona kwenye kioo changu kila asiku. Amechuma majani na kuyatengeneza mfano wa ua. Huyu ndiye mwanamke ninaye mpenda sana.
Na kwaresma hii naomba maombi makali awe wangu wa milele😆😆😆 😆 ila ww 🙌🙌
Mbona amebadili gia,ameingia kwenye utawa,anataka kuwa sistaNa kwaresma hii naomba maombi makali awe wangu wa milele
TUNAMPELEKA MWISHO WA RELI. KILA KITU KITAKAA SAWAMbona amebadili gia,ameingia kwenye utawa,anataka kuwa sista
Huo ni mtandio.. Kaniki rangi yake ni nyeusiNajaribu kuimagine na kaniki yako nyekundu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jiandae kupambana nae, ndio ushapata chombo, usiku utashangaa ukilala unakula mzigo bila ndom.. umeisha anzisha vita muraaaNilikuwa nataka kujua kama ni kweli. Ila hi kitu ni strange sana na nahisi inahusisha nguvu za giza maana hata mwanamke unayemuona sio wa kawaida na mwili unahisi wa baridii na kama ganzi inakushika. Halafu kuna vipele vya baridi vile vinatokea. Ila mwanamke kutokea anatokea ila sio wa kawaida kwa kweli.
😅😅😅kumbeHuo ni mtandio.. Kaniki rangi yake ni nyeusi
KITU umeletewa huelewi precepts behind uje useme kawaida, kibaya vitu hvyo vinalenga spiritual world.... Ndio uvichukulie kwa udogo sio.Mkuu Acha hofu vitu vingne ni vya kawaida mno .