Mrejesho wa kumuona mwenza wako kwenye kioo!

Mrejesho wa kumuona mwenza wako kwenye kioo!

Aisee aendelee kula ugali na dagaa huko kwao sio kumuona Kwa njia hiyo inatisha ,😀
 
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.

Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na kaniki nyekundu.

Hivyo niliwasha mishumaa kuzunguka kioo nikapanga uwaridi na kujifunga kaniki nyekundu. Kisha nikachukua tufani jekundu na kuanza kula huku nikitizama kioo na kuchana nywele zangu, ilinichukua kama dakika 2 hivi nikaona mwanamke amesimama mbele yangu, yaani tunatizamana nilipo jaribu kuhamaki na kupepesa macho sikumuona tena.

Nikarudia mara pili, sa hii nikaamua kuongeza na uturi na habbat soda ili nione tamati yake. Lakini cha miujiza nilipoanza kutizama tena kioo kilitingishika na kupasuka na ile mishumaa ikazima ghafla. Imenibidi nikimbilie main switch tena niwashe maana naona mauza uza tu.

NB: Niliingia saiti ili nijionee kama tomaso na nimeleta feedback, feel free na wewe kujaribu it's fun 😊 though!

MY TAKE: Mi binafsi nahisi ni hallucinations na wala hamna ukweli wowote ila kioo kupasuka na mishumaa kuzima nimehisi labda ni upepo ambao ulipiga ghafla.

Ila ni hallucinations, kwasababu baada ya kuwasha taa nimejaribu tena hilo zoezi kwenye kioo cha bafuni nikajiangalia bila kupepesa kope, kiufupi sura iliotokea siitambui ila sio mimi! Kwahyo ni hallucinations zinazobadili imaginations kwenye kichwa.

UZI WA Rakims huu hapa chini.
Thread 'Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye' Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye
hehehehehe
 
Kioo huwa kina nasa image ya mtu, mchawi au jini akija ndani uiona picha ya mtu kwenye kioo na anaweza kukudhuru kutumia kioo hicho hicho.
Msipende kukaa uchi kwenye vioo, mnaacha copy zenu hapo
 
Kioo huwa kina nasa image ya mtu, mchawi au jini akija ndani uiona picha ya mtu kwenye kioo na anaweza kukudhuru kutumia kioo hicho hicho.
Msipende kukaa uchi kwenye vioo, mnaacha copy zenu hapo
🤣🤣
 
unaji
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.

Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na kaniki nyekundu.

Hivyo niliwasha mishumaa kuzunguka kioo nikapanga uwaridi na kujifunga kaniki nyekundu. Kisha nikachukua tufani jekundu na kuanza kula huku nikitizama kioo na kuchana nywele zangu, ilinichukua kama dakika 2 hivi nikaona mwanamke amesimama mbele yangu, yaani tunatizamana nilipo jaribu kuhamaki na kupepesa macho sikumuona tena.

Nikarudia mara pili, sa hii nikaamua kuongeza na uturi na habbat soda ili nione tamati yake. Lakini cha miujiza nilipoanza kutizama tena kioo kilitingishika na kupasuka na ile mishumaa ikazima ghafla. Imenibidi nikimbilie main switch tena niwashe maana naona mauza uza tu.

NB: Niliingia saiti ili nijionee kama tomaso na nimeleta feedback, feel free na wewe kujaribu it's fun 😊 though!

MY TAKE: Mi binafsi nahisi ni hallucinations na wala hamna ukweli wowote ila kioo kupasuka na mishumaa kuzima nimehisi labda ni upepo ambao ulipiga ghafla.

Ila ni hallucinations, kwasababu baada ya kuwasha taa nimejaribu tena hilo zoezi kwenye kioo cha bafuni nikajiangalia bila kupepesa kope, kiufupi sura iliotokea siitambui ila sio mimi! Kwahyo ni hallucinations zinazobadili imaginations kwenye kichwa.

UZI WA Rakims huu hapa chini.
Thread 'Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye' Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye
funza ulozi bila kujua,wataanza kukunyooshea vidole mtaani mda si mrefu
 
Hivi vitu mm naogopa hata kuvijaribu unawezapata matatizo makubwa sana. Kuna vitu vizuri vya kujaribu kama kuoga na chumvi kutoa mikosi na vingine ila kuita majini bro ni big nooo
 
😂😂😂😂 Aisee nimecheka sana looh
Mimi nilikosa uaridi nikaamua nitumie maua ya alizeti na tufani pia kwakua sijui ni tunda gani nikaamua nitumie mapera, ghetto huwa sina kioo natumiaga kioo cha dirisha ila hadi nitoke kwa nje ndo najiona kwa ndani huwa sijioni usiku nikaamua kwenda kufanya hilo zoezi kwa nje alafu ni nyumba ya wapangaji, baada ya kuwasha mishumaa na kuvaa kaniki huku natafuna pera ilikua ni kwenye dirisha la jirani nilichoona ni dirisha linafunguliwa na kuskia sauti ya mwanamke anapiga kelele

Ghafla watu wakanizunguka walikua ni watu kama watano wawili wameshika rungu mmoja kashika tochi alafu wanaulizana kwa kusema huyu si ni lucha? Kabla sijajibu nilihisi Kuna kitu kizito kimetua kichwani nikaona giza sikuskia sauti ya watu tena nikaja kushtuka ndugu zangu wamenizunguka nipo hospital na kwenye ile nyumba walihamisha vyombo vyangu vyote kabla sijashtuka wakavirudisha nyumbani.

Sasa sijui nilipigana na mashemeji kabla sijamuona mchumba au kilitokea nini
 
Babu utakuja ita majini yaje kutoka kuzimu yana ngare balaa. Yanakukamata na giza hilo yanakut*mba halafu hayaondoki kila siku yanataka gemu.

Hivi umeshawahi t*mbwa na mwanamke wewe badala ya wewe kumt*omba yeye?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
kama umefanya kweli na ukamuona huyo mwanamke, kwa tafsiri ya haraka umemkaribisha / umeunga mahusiano na hilo dubwasha. Kama atakuwa interested tegemea ujio wake tena na tena.
 
Habari za wanga! Muda ni 1:00 usiku wa manane, mbalamwezi na nyota zinaonekana vizuri kabisa. Nimeamua kuzima kabisa main switch, ili kuwe na giza totoro.

Nimechukua mahitaji yangu ambayo niliambiwa lazima uwe nayo, yaani kichana, tufani na kioo. Mimi nikaongeza mishumaa, uwaridi nyekundu na kaniki nyekundu.

Hivyo niliwasha mishumaa kuzunguka kioo nikapanga uwaridi na kujifunga kaniki nyekundu. Kisha nikachukua tufani jekundu na kuanza kula huku nikitizama kioo na kuchana nywele zangu, ilinichukua kama dakika 2 hivi nikaona mwanamke amesimama mbele yangu, yaani tunatizamana nilipo jaribu kuhamaki na kupepesa macho sikumuona tena.

Nikarudia mara pili, sa hii nikaamua kuongeza na uturi na habbat soda ili nione tamati yake. Lakini cha miujiza nilipoanza kutizama tena kioo kilitingishika na kupasuka na ile mishumaa ikazima ghafla. Imenibidi nikimbilie main switch tena niwashe maana naona mauza uza tu.

NB: Niliingia saiti ili nijionee kama tomaso na nimeleta feedback, feel free na wewe kujaribu it's fun [emoji4] though!

MY TAKE: Mi binafsi nahisi ni hallucinations na wala hamna ukweli wowote ila kioo kupasuka na mishumaa kuzima nimehisi labda ni upepo ambao ulipiga ghafla.

Ila ni hallucinations, kwasababu baada ya kuwasha taa nimejaribu tena hilo zoezi kwenye kioo cha bafuni nikajiangalia bila kupepesa kope, kiufupi sura iliotokea siitambui ila sio mimi! Kwahyo ni hallucinations zinazobadili imaginations kwenye kichwa.

UZI WA Rakims huu hapa chini.
Thread 'Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye' Jinsi ya kumuona utakayemuoa au utakayeolewa naye
Mwamba naomba kuuliza uzi wako ule wa ,kuelezea hustle zako baada ya kufiwa nawazazi wako kwa ajali ya gari nakisha kuingia kwenye shuguli za ujambazi ktk kuwahudumia dada zako uko jukwaaa gani manaa nautafuta sana mr.poker lkn sijabahatika kuuona tena.msaada please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom