Mrejesho wa maamuzi yangu binafsi

Njoo PM nikupe ramani ya sehemu ya kupata vitobo vya bei rahisi uache kupiga nyeto Wewe gharama yako iwe ni condom tu na Buku Buku zako kadhaa Mkononi
 
Ebu mrudie mungu mkuu! Kuwa karibu na Allah hivyo vyote vitapotea mimi nilikuwa mpiga nyeto hasa na mdau wa video za ngono ila baada ya kuwa karibu na Allah kila kitu nipo mbali navyo
 
Kwahiyo wewe hauna watu uliosoma nao, hauna washkaji mnaopiga story, hauna hata mliojuana online kama hivi?

Chai.....
Nimesoma nao na baada ya hapo ndio basi hatuwasiliani na hawazidi wawili ambao namba zao ninazo ila hatuna bond siwez mwambia chochote, hao wa shikaji wa story sina na sikumbuki lini nilitoka et nikaenda kupiga story, sina mtu niliejuana nae online (moja ya sababu dunia imeharibika usijechat na mtu ukajua demu kumbe unanogeshana na shoga siwez jisamehe hiyo dhambi)

Ni jukumu lako kuamini au kutoamini
 
Levo ya shule ni darasa la ngapi hilo la kujuana na watu wawili
 
Huo uongo sasa kwahiyo wewe ni mtu wa kukaa ndani, mwanaume mzima? nenda hata kanisani au Msikitini utawapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…