Mrejesho wa maamuzi yangu binafsi

Unadhani ni rahisi hivyo? Kwanza inaonekana wewe ni dalali kule
 
Hivi Karne ya Leo, mwanafunzi uliyetoka kumaliza chuo mwaka huu unashindwaje kumiliki demu? Au Una ulemavu wa mdomo kiongozi?
 
Hatuko sawa dunia yote
Hilo ni kweli lakini Kuna mambo mengine yanaacha mashaka katika jamii. Hivi kweli kijana wa chuo na tabia za kujichua wapi na wapi? Hayo mambo ulipaswa kufanya ukiwa shule ya msingi wakati wa balehe hata kutongoza huwezi mathalani sekondari. Lakini mpaka Leo muhitimu wa chuo kikuu bado unapiga nyeto sababu hasa ikiwa kukosa njia za kuwanasa wasichana.
 

ukimwii babu na ubahilii ndΓΈ chanzoπŸ˜‚vjana wanaogpa
 
1. Nitaacha kuangalia video za ngono (wengi wamesema hio ndio sababu kuu) japo jana ndio niliangalia baada ya kujituliza for 2 days na leo hii pia nitatizama mara ya mwisho then nitaamua kujipumzisha.

2. Baadhi ya member walisema pia niache nyeto ilaaaa siwezi sababu nipo single na sina muda wa kutongozana kama hivi nimerud nipo ndani tu sio rahisi kuacha ila nitapunguza angalau for 2 weeks mara moja au kwa mwezi mara mbili au tatu the more nitazoea ndio nitakavyozidi kujiweka huru.


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ‘† hakuna mtu anayeomba ushauri hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…