Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nikisikia mwanamke anatokea Tanga tu akili yangu inakuwa kama wale viongozi waliosaini mikataba ya madiniNdio mie ndugu yake kina Sky, Lady Aj, Ukhuty, Shunie na wengine wengi.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Niambie best.
Na kwako pia dada akeeUsiku mwema dada ake mana muda wangu wa kulala unakaribia.
Kwa nini tena mkuu? [emoji2]Yaani nikisikia mwanamke anatokea Tanga tu akili yangu inakuwa kama wale viongozi waliosaini mikataba ya madini
Mi najua jibu unalo tu ila unaniuliza kwaniniKwa nini tena? [emoji2]
[emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Saa nyingine naona kama tunachomeshwa mahindi tu dada.
Hahaaaa. Haya bana mkuu.Mi najua jibu unalo tu ila unaniuliza kwanini
Kazi kwenu mnaopenda kuanzisha nyuzi zisizokuwa na kichwa, miguu wala mkia
Ebu tuambie mkuu kwa niniYaani nikisikia mwanamke anatokea Tanga tu akili yangu inakuwa kama wale viongozi waliosaini mikataba ya madini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji535] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Muhudumu sioni pili pili hapa
Bora umenikumbusha dada yangu, maana hapa mdomo umejaa mate hadi nashindwa kuongea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umesahau na ndimu mdogo wangu.
Pole sana mdogo wangu ndio mana niko kwa ajili ya kukumbusha haswa pale unaposahau vitu kama hivi.Bora umenikumbusha dada yangu, maana hapa mdomo umejaa mate hadi nashindwa kuongea
Kuna rafiki yangu aliniaga anaenda Tanga (Muheza) kwa siku tatu tu ila chakushangaza leo hii mwezi unaenda wa 3 huu kurudi kwake kwa kusua sua mpaka wamegombana na mpenzi wake, nikamuuliza kwann hurudi? Alichonisimualia ndo ndo kimenifanya niwe nawaangalia mara mbili mbili warembo wa TangaEbu tuambie mkuu kwa nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana aiseeKuna rafiki yangu aliniaga anaenda Tanga (Muheza) kwa siku tatu tu ila chakushangaza leo hii mwezi unaenda wa 3 huu kurudi kwake kwa kusua sua mpaka wamegombana na mpenzi wake, nikamuuliza kwann hurudi? Alichonisimualia ndo ndo kimenifanya niwe nawaangalia mara mbili mbili warembo wa Tanga
Aiseee. Hicho tu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna rafiki yangu aliniaga anaenda Tanga (Muheza) kwa siku tatu tu ila chakushangaza leo hii mwezi unaenda wa 3 huu kurudi kwake kwa kusua sua mpaka wamegombana na mpenzi wake, nikamuuliza kwann hurudi? Alichonisimualia ndo ndo kimenifanya niwe nawaangalia mara mbili mbili warembo wa Tanga
Huu ulevi hauwezi kuniacha salama, sasa hivi nipo pande za G...b mtandaao nao unazingua nimebana sehemu karibu na nyumba kuvizia mawimbi ya post za JFPole sana mdogo wangu ndio mana niko kwa ajili ya kukumbusha haswa pale unaposahau vitu kama hivi.
Ila izowee jf.
Mzima mkuu uko poa lakinBabe wako wa JF mzima?[emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu chunga sanaHuyo chalii Wa chura anamuuliza nanyupu habari za mbitiyaza!
DJ sepetu