Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Stress mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto raha sana kama saivi na kumi na nane tu huoni sijakuwa badoo.Utoto raha sana.
[emoji23][emoji23]Stori za huyu wanaelewaga wambea tu! Yupo mmbea anaelewaga hizi stori Carleen msaada wako huku..[emoji28]
[emoji23][emoji23] nimecheka kifala sana...ila tumeelewaphaller kweli wewe...!!
Haya kwa wasioelewa, 'kuna kaka alikuwa anamuonesha dalili zote za kumtaka ndugu yetu 'ua la kipekee' lakini shida inakuja jamaa hatamki neno na wakati mrembo kaanza ielewa kifaa',
Sasa Leo ndiyo kaleta mrejesho wa maendeleo ya afya ya hayo mapenzi yao ya kuibiana.!!
Wakuu kama mnataka kujua mrejesho basi yule kaka nimeendelea kumuona tena kila siku anatoka njee nimuone naanjiongelesha .
Chakushangazaa hiyo njia ya immigration ndio njia ya kwenda home sikuhizi namuona na sijui anajuaje mida yangu yakupita hapoo.
Naanirembulia kabisa kama nini ila kwa sasa ipo kama anahangaika kunipata ila tatizo anamtu wake sasa mie nifanyaje??
Nimlipue ??
Eh mambooUna mwaandiko mbaya kama katoto kazuri au id Ni moja ?
Nyie wa siku hizi shoo ya kirafiki unajaza mtu mimbaa woi bora uwe singleDada utakuwa na tatizo sio bure. Ushauri wa bure tafuta dume la kukuchakata akili ikae sawa
Umeandika nini wewe kiumbe
Trust me, hizo ni nyege tu.Wakuu kama mnataka kujua mrejesho basi yule kaka nimeendelea kumuona tena kila siku anatoka njee nimuone naanjiongelesha .
Chakushangazaa hiyo njia ya immigration ndio njia ya kwenda home sikuhizi namuona na sijui anajuaje mida yangu yakupita hapoo.
Naanirembulia kabisa kama nini ila kwa sasa ipo kama anahangaika kunipata ila tatizo anamtu wake sasa mie nifanyaje??
Nimlipue ??
Mko mbaliTrust me, hizo ni nyege tu.
Ni PM nizimalize.
Hivi Kuna mtu anataka kupewa mbunye kirahisi hivi halafu anachelewaaa.
Dah mbona urahisi huu hatuupatagi sisi?
#YNWA
Hakuna haja ya kukaa single huku muda unapotea. Ebu sogea PM tusaidiane dadaNyie wa siku hizi shoo ya kirafiki unajaza mtu mimbaa woi bora uwe single
Tatizo mnalo nyie sio mimi,mimi ndio niliodata ofisini mpaka watu wanamshangaa mtu unadindisha ofisini je chumbani??Dada utakuwa na tatizo sio bure. Ushauri wa bure tafuta dume la kukuchakata akili ikae sawa