simon baker
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 522
- 698
Its either ajira Yako kipato below sub average or you're average Yan not worth the risk (no offense),unausoma or something about you is dick repellent...Wakuu kama mnataka kujua mrejesho basi yule kaka nimeendelea kumuona tena kila siku anatoka nje nimuone na anajiongelesha.
Cha kushangaza hiyo njia ya immigration ndio njia ya kwenda home sikuhizi namuona na sijui anajuaje mida yangu yakupita hapo.
Naanirembulia kabisa kama nini ila kwa sasa ipo kama anahangaika kunipata ila tatizo anamtu wake sasa mie nifanyaje?
Nimlipue?
Nasema haya koz mwanaume hacheleweshagi shobo ..akiona anashobokewa na kama kamuelewa muhimu kupelekea moto..
Binafsi Dem ata awe ananishobokea vip I have a certain standard...kwanza kama haumzid main wangu Kwa mvuto ase dah ngumu..mana ntapata second that's making a move..wakusoma nao siji associate sana mana Visumbufu..Ila ntaruka nayo maana mda mwingine I like some submissive sex ..