Mrejesho wa yule kaka wa immigration

Mrejesho wa yule kaka wa immigration

How are you sure that i am still single??😏😏 eh!
Kama anapewagwa moto hadi M inatoka nyeusi kama mkaa basi ila inaonyeshwa hapewagwi vizuri.
So sinaga time na vijana wenye wako wanaringaga ni game tu hatowahi kusikia nipo serious mathee.
Ukisikia hii kabila utaidharau ila weee tunapalilia vizuri shamba sio hao wenu .

View attachment 1897453
Lipia tangazo
 
Meaning sina uhakika na jinsia yake, ndio maana nimeweka zote
Mbona miye nauwakika na yako unajua humu wanaume na wadada wanapenda kumtesa mtu kimawazo yaani kama huyu unique flower watu wanasema ni miye itafika siku nitawaonyesha certificate ya ndoa niliyofunga hapo anglicana Arusha mjini .
Na ndoa yangu ilivyoidhinishwa hapo maromboso Arusha na sign ya jaji .
 
Mbona miye nauwakika na yako unajua humu wanaume na wadada wanapenda kumtesa mtu kimawazo yaani kama huyu unique flower watu wanasema ni miye itafika siku nitawaonyesha certificate ya ndoa niliyofunga hapo anglicana Arusha mjini .
Na ndoa yangu ilivyoidhinishwa hapo maromboso Arusha na sign ya jaji .
Weeee mbona kimya kimya, nakumbuka mara ya mwisho ulisema una mzungu dear, ndio huyo kachukua jiko?
 
Back
Top Bottom