Mrejesho wa yule kaka wa immigration

Lipia tangazo
 
Meaning sina uhakika na jinsia yake, ndio maana nimeweka zote
Mbona miye nauwakika na yako unajua humu wanaume na wadada wanapenda kumtesa mtu kimawazo yaani kama huyu unique flower watu wanasema ni miye itafika siku nitawaonyesha certificate ya ndoa niliyofunga hapo anglicana Arusha mjini .
Na ndoa yangu ilivyoidhinishwa hapo maromboso Arusha na sign ya jaji .
 
Weeee mbona kimya kimya, nakumbuka mara ya mwisho ulisema una mzungu dear, ndio huyo kachukua jiko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…