Mrejesho wanajamvi kuhusu vidonda vya tumbo

Mrejesho wanajamvi kuhusu vidonda vya tumbo

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Wanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital.

Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui.

Naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi?

Sababu kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
 
Wanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi hatuijui naomba niwaulize wanajamvi hivi nikweli unywaji wa maji ya moto yanasaidia kuponyesha vidonda vya tumbo na mwili kuuma pamoja na kula Kwa wakati nimeleta hivi sababu Kuna wengi wanasumbuliwa na hili tatizo Ili waweze kuwa sawa na wao maoni yenu muhimu wanajamvi halafu naomba anaejua mlp wa mtu mwenye vidonda vya tumbo kuanzia asubuhi mpaka jioni anisaidie kuniorodhoshea wadau huu ugonjwa unatesa sana
Mimi nitakupa dawa ya vidonda vya tumbo bure, baada ya kupona.. Ulete shukrani.. 🤗🤗🤗.
 
Hadi Mimi ninavyo hivi ni balaa dawa yake kupunguza mawazo na kula kwa wakati au tumia relcer gel na Omeprazole miezi mitatu ikidunda tumia hiii charanga mbegu ya parachichi kisha Iki kauka ule unga changanya na kiini cha yai la kienyeji kisha Tumia mara tatu kwenye kijiko cha chakula
 
Hadi Mimi ninavyo hivi ni balaa dawa yake kupunguza mawazo na kula kwa wakati au tumia relcer gel na Omeprazole miezi mitatu ikidunda tumia hiii charanga mbegu ya parachichi kisha Iki kauka ule unga changanya na kiini cha yai la kienyeji kisha Tumia mara tatu kwenye kijiko cha chakula
Vinatesa sana aisee shuguli zote zinasimama maisha haya binadamu tunateseka sana
 
Naifahamu dawa ambayo inatibu kabisa Vidonda vya tumbo,yaani inabaki historia!


Mwenye uhitaji anicheki ili iandaliwe mapema!

Dawa siitoi bure kwasababu kuitengeneza inachukua muda na materials pia kuzipata ni Changamoto!
Sawa
 
Tafuta mizizi ya mti wa mpondeponde, ukaushe kisha usage uwe unga, kisha chukua mbegu za papai uzisage. Changanya huo mchanganyiko wote uwe unaweka kwenye maziwa ya mbuzi, kila siku kunywa nusu lita kwa kipindi cha miezi mitatu huku ukiweka asali ya nyuki wadogo vijiko viwili.
Usipopona niite umbwa nimekaa paleee.
 
Back
Top Bottom