Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wauza utupu kwenye ubora waoMnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
[/QUOTE]Nimeshangaa tu....coz naamini unaowatafuta wako above 30 yrs; so km wanakuomba hela daaah kuna walakini....!Umefurahi sanaQUOTE="Heavy Metal, post: 34717084, member: 414425"]
Hahahahaaaaa daaaaah; maisha yanaenda kasi sana!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote wanao weka ngono mbele...kuna mdada nilikutana naye huku mwaka jana wala siku mvua pichu ingawa yeye alikua willing kabisa....alikua muongo nikaona nisimvue pichu.Haiko hivyo.
Ni vile mtu anataka kabla hamjaonana hamjakutana hamjajuana umuhakikishie mzigo, yaani anataka mkutane Lodge siku ya kwanza.
Sasa wewe unaweza?
Ahahahahah leo nitakuita uje CHINA BARAcha kabisaaaaa yaani jamani.
Maisha magumu hivi.
Unaanzaje kumpa mwanaume hela?
Yaani mimi hata mtu akisema nimfate kwa nauli yangu naumia mnooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unajua etiquette za mwanamke anayesaka ndoa.🤣🤣 Kwa attitude hiyo inawezekana ndo sababu ya kukosa mume, relax..haya Mambo hayahitaji hasira.
Mfahamiane nini tena wakati cha mskngi ni kupeana maraha ya papuchiSidhani kama amemaanisha hivyo, anachosema yeye wengi wanataka tendo wakati hata hawajafahamiana vizuri... Hivi mwanaume mmekutana mtandaoni meeting ya kwanza ya pili unavua chupi? Lazima mpeane muda wa kufahamiana kwanza aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hem tulia basiMfahamiane nini tena wakati cha mskngi ni kupeana maraha ya papuchi
Sidhani kama amemaanisha hivyo, anachosema yeye wengi wanataka tendo wakati hata hawajafahamiana vizuri... Hivi mwanaume mmekutana mtandaoni meeting ya kwanza ya pili unavua chupi? Lazima mpeane muda wa kufahamiana kwanza aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi kuna wadada wana vipato vya juu hatari, yaani kuna wanawake wanakunja 5mil+ kwa mwezi, wao wanachokosa ni kidume wa kuwapa furaha. Na sisi tukishaona mwanamke ana hela nyingi huwa tunaogopa coz wanakuwa na hulka za ku-bully.Acha kabisaaaaa yaani jamani.
Maisha magumu hivi.
Unaanzaje kumpa mwanaume hela?
Yaani mimi hata mtu akisema nimfate kwa nauli yangu naumia mnooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha loh hii nayo ni mbaya sanaSiku hizi maisha yamerahisishwa, tunakutana huku tumeshaonana kwenye picha au video calls.
Ikibidi wengine hadi vifanyio wameshaoneshana, kwa mkikutana ni kwa ajili ya kugusanisha tu.
Siyo wote wapo kama wewe Demi nakuja huwa hukasiriki hata iweje! Kilichokuongezea uvumilivu ni. Vile una mme tayari. Wasokuwa na waume huwa wanaluzi tempa haraka hasa akiwa na ntoto. Tumvumilie tu, akipata atakuwa sawa.🤣🤣 Kwa attitude hiyo inawezekana ndo sababu ya kukosa mume, relax..haya Mambo hayahitaji hasira.
Ukila hela ya mwanamke jifunge kibwebwe! Hao akina amu Wana mipesa yao ila ni silka ya mwanamke kuwa bahili na akikupa hela yake kwanza adhabu yako kuzama chumvini na kukuweka doleSasa hivi kuna wadada wana vipato vya juu hatari, yaani kuna wanawake wanakunja 5mil+ kwa mwezi, wao wanachokosa ni kidume wa kuwapa furaha. Na sisi tukishaona mwanamke ana hela nyingi huwa tunaogopa coz wanakuwa na hulka za ku-bully.
Kweli kabisa mzee mie nakumbuka nilikutana na mrembo toka hapa yaani siku twakutana tulikuwa tayari tunajua tunagegedana tuu.... Na nimtamu huyooo hahahahaSiku hizi maisha yamerahisishwa, tunakutana huku tumeshaonana kwenye picha au video calls.
Ikibidi wengine hadi vifanyio wameshaoneshana, kwa mkikutana ni kwa ajili ya kugusanisha tu.
Kweli kabisa mzee mie nakumbuka nilikutana na mrembo toka hapa yaani siku twakutana tulikuwa tayari tunajua tunagegedana tuu.... Na nimtamu huyooo hahahaha
Unadhani ukimzidi umri au hela anaweza kukueleza uzame? Dhubutu utamuweka vibao! Lakini awe nazo, alipe gesti cha kwanza unakurupuka anakueleza dogo subiri, kwanza zama huku hata kule D2Lord have mercy!!!