Am focused
Member
- Jun 13, 2021
- 41
- 173
Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sanaSasa tukushauri nini?
Baba mzazi kahusikaje?
Wao waliosema ni Baba mzazi wameshauri nini kifanyike??
Hili ndo linalofuata soonHakuna mtaalamu anayeweza kumrudisha mtu akishakufa. Mtaliwa tu hela zenu na waganga. Kama mmeshazika endeleeni tu kuomboleza muendelee na shughuli zenu. Mkiendeleza huo upumbavu mtaanza kuuana ndani ya familia.
Wewe bwege kweli!Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada...
Hata Mwamposa na Kuhani Musa hawawezi au yule mchungaji maarufu wa Kijitonyama?Hakuna mtaalamu anayeweza kumrudisha mtu akishakufa.
Wampeleke kwa Mwamposa akamzindueMtu ikishasemwa kafa na akazikwa hua harudi kamwe. Potezeeni na msahau, Mtakatana mapamga bure
Hawawezi. Wale pia ni kama waganga wa kienyeji.Hata Mwamposa na Kuhani Musa hawawezi au yule mchungaji maarufu wa Kijitonyama?
Matunguli yao wanaweka wapi ?Hawawezi. Wale pia ni kama waganga wa kienyeji.
Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.