Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.

Wee jamaa bhana...!!!
Huko kwa hao wataalam ulikoenda ulishauriwa na wanajf uende kwa mtaalam yupi na yupi kwenye uzi unaosema ulileta?
Hadi kufika kwa hao wataalum unaosema ni wote walisema ni baba anahusika, hawakushauri cha kufanya ama ushauri wao walikwambia uje jf kuomba ushauri wa nini cha kufanya...?
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
ndani ya 40 days, huwa inawezekana kirahisi sana.. ila nje ya hapo kazi huwa pevu na anaweza akarudi asiwe normal
 
Nachojua mzazi ni Mungu wa 2 duniani mzazi akisikitika tu mambo yako hayataenda muombeni msamaha aise kabla hajaondoka duniani huyo mzee..anywys poleni...lakini kwanini msiache lipite mmkabidhi Mungu jambo hili?

Koo zinazoamini haya mambo mie naogopa hata ujirani nao aise🙌

Mzazi wa Diamond, Ommy Dimpoz, na wengineo walisikitika na mambo ya Watoto wao yanaenda tuu.
Acha Imani za kizamani na kijinga
 
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, .

Sasa hao unaowaita wataalamu si ndio wawasaidie? Kama kweli ni wataalamu wanashindwaje kutoa suluhisho?
 
Nyie tulieni ka hajafa atarudi tu na kama kafa hatorudi,shida iko wapi,siwezi dharau uchawi maana ndo tamaduni za kiafrika,
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Mhhhh
 
Kwa nn wasukuma mnaamini sana ushirikina? Hao wataalam unaodai waliwapa majibu kuwa ni baba yake kamuua ni matapeli na wanatembea na mawazo yako, yaani ukienda kwa mganga Kuna watu unawakuta kwn foleni, kati Yao Kuna wapambe wa mganga ambao wanapiga na ww story wewe unafunguka, kwa kuwa watatangulia kuingia ndani wanamwambia kila kitu! Ukitaka kuamini nenda kwa mganga mbali usikojulikana ukae tu usiongee kitu Hadi zamu yako ifike uingie uone mganga atakavyobabaika
We naye chenga sana,wapi kasema yeye ni msukuma,au morogoro wanaoishi pale ni wasukuma!?
 
Poleni,ila mkubali kuwa ndugu yenu amisha kufa na hamtamuona tena! Vingine unavyotaka haviwezekani ,nakama vingekuwa vinawezekana wote tunge Fanya hivyo Ili ndugu zetu walio tangulia mbele za haki ,tuwarudishe tuendelee kuishi nao.
 
Mzazi wa Diamond, Ommy Dimpoz, na wengineo walisikitika na mambo ya Watoto wao yanaenda tuu.
Acha Imani za kizamani na kijinga
Hata mimi mama yangu alishaskitika sana juu yangu,cha ajabu ambao hawasikitikii maisha yao ni magumu sana kuliko yangu,tuache kukalili,Kuna wazazi ni mashaitwani kabisa
 
Amefariki mda gani mkuu kama imechukua miezi na wamekwambia yuko Gamboshi a.k.a Diningi mkuu bora umuache.

Ila kama yuko kwa mtu than go huko Usukumani, Simba wanga, Tanga, na Pwani watakupa maelezo km inawezakana ama laa.
 
Hawawezi. Wale pia ni kama waganga wa kienyeji.
Wataalamu wapo, ila wengi wanaogopa kuwarudishaa duniani wanakua km misukule, hata jamii itawakimbia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nakupa namba ila kama atakutapeli mimi sitahusika, ila namuamini 85% kama alikufa kifo cha kusabbabishwa anaweza kurudi
Wanaweza kuvumilia??jamii itampokeajee huyo marehemu??
[emoji23][emoji23][emoji23] wengi ndo wanaogopa hapo
 
Back
Top Bottom