babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mwana huyo kashakufa mnasindikiza mnaendelea maisha pengine.
Hakuna haja kutafuta mchawi.
Harudi huyo.
Move on
Hakuna haja kutafuta mchawi.
Harudi huyo.
Move on
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn wasukuma mnaamini sana ushirikina? Hao wataalam unaodai waliwapa majibu kuwa ni baba yake kamuua ni matapeli na wanatembea na mawazo yako, yaani ukienda kwa mganga Kuna watu unawakuta kwn foleni, kati Yao Kuna wapambe wa mganga ambao wanapiga na ww story wewe unafunguka, kwa kuwa watatangulia kuingia ndani wanamwambia kila kitu! Ukitaka kuamini nenda kwa mganga mbali usikojulikana ukae tu usiongee kitu Hadi zamu yako ifike uingie uone mganga atakavyobabaikaHabari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.
Yaani mpaka leo kuna watu wanaamini haya mambo ya Uchawi wa Baba kuua mtoto wake😭😭.Uchawi kweli upo na wachawi wapo 100% Ila Mungu yupo na anafanya Maajabu katika kulinda na kuokoa watu wake! Akuna Nguvu ya Uchawi yenye Nguvu ya kuweza dhuru yule analindwa na MUNGU!Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.
Nachojua mzazi ni Mungu wa 2 duniani mzazi akisikitika tu mambo yako hayataenda muombeni msamaha aise kabla hajaondoka duniani huyo mzee..anywys poleni...lakini kwanini msiache lipite mmkabidhi Mungu jambo hili?
Koo zinazoamini haya mambo mie naogopa hata ujirani nao aise[emoji119]
Mtu alikufa halafu unamfufua? Ili upate nini hasa?Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.
Ametoa mrejesho hajaomba ushauriSasa tukushauri nini?
Baba mzazi kahusikaje?
Wao waliosema ni Baba mzazi wameshauri nini kifanyike?
Poleni sana,Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.
Mtu anayeamini ushirikina sitaki hata kumsogelea, wanakuwaga watu wa lawama na kila kitu anachofanya anahisi wanamroga SIPENDI [emoji57][emoji57]
Umeielezea vyema zaidi..yaani balaa..🤣Mtu anayeamini ushirikina sitaki hata kumsogelea, wanakuwaga watu wa lawama na kila kitu anachofanya anahisi wanamroga SIPENDI [emoji57][emoji57]
#AmFocused#🤣🙌Wewe bwege kweli!
Mabwege vyakula vya wajanja, basi nenda kwa Gwajima.Habari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.
KawaulizeMatunguli yao wanaweka wapi ?
Baada ya kusoma huu uzi ndo nimemwelewa baba yangu aliposema tuchunguze familia ya yule mchumba wangu kama ina laana yoyote. Kila mtu alimshangaa baba ila kupitia huu uzi nimemwelewa.Nachojua mzazi ni Mungu wa 2 duniani mzazi akisikitika tu mambo yako hayataenda muombeni msamaha aise kabla hajaondoka duniani huyo mzee..anywys poleni...lakini kwanini msiache lipite mmkabidhi Mungu jambo hili?
Koo zinazoamini haya mambo mie naogopa hata ujirani nao aise🙌
Wasiliana na Mshana Jr atakusaidia Elimu zaidiHabari wakuu!
Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;
Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.
Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.
Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.
Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.
Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie
Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.
Karibuni.