Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Kwa nn wasukuma mnaamini sana ushirikina? Hao wataalam unaodai waliwapa majibu kuwa ni baba yake kamuua ni matapeli na wanatembea na mawazo yako, yaani ukienda kwa mganga Kuna watu unawakuta kwn foleni, kati Yao Kuna wapambe wa mganga ambao wanapiga na ww story wewe unafunguka, kwa kuwa watatangulia kuingia ndani wanamwambia kila kitu! Ukitaka kuamini nenda kwa mganga mbali usikojulikana ukae tu usiongee kitu Hadi zamu yako ifike uingie uone mganga atakavyobabaika
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Yaani mpaka leo kuna watu wanaamini haya mambo ya Uchawi wa Baba kuua mtoto wake😭😭.Uchawi kweli upo na wachawi wapo 100% Ila Mungu yupo na anafanya Maajabu katika kulinda na kuokoa watu wake! Akuna Nguvu ya Uchawi yenye Nguvu ya kuweza dhuru yule analindwa na MUNGU!
 
Nachojua mzazi ni Mungu wa 2 duniani mzazi akisikitika tu mambo yako hayataenda muombeni msamaha aise kabla hajaondoka duniani huyo mzee..anywys poleni...lakini kwanini msiache lipite mmkabidhi Mungu jambo hili?

Koo zinazoamini haya mambo mie naogopa hata ujirani nao aise[emoji119]

Mtu anayeamini ushirikina sitaki hata kumsogelea, wanakuwaga watu wa lawama na kila kitu anachofanya anahisi wanamroga SIPENDI [emoji57][emoji57]
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Mtu alikufa halafu unamfufua? Ili upate nini hasa?
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Poleni sana,
Mtu akishakufa siamini kama anaweza kurudi, kwani hakuna mtu anaweza kufufuka kutoka kwa wafu.

Napata utata kwenye maelezo yako:_
Wataalamu wamethibitisha baba anahusika, kwani mshaenda kushitaki?

Baba mzazi anahusika vipi?
 
Mtu anayeamini ushirikina sitaki hata kumsogelea, wanakuwaga watu wa lawama na kila kitu anachofanya anahisi wanamroga SIPENDI [emoji57][emoji57]

Mtu anayeamini ushirikina sitaki hata kumsogelea, wanakuwaga watu wa lawama na kila kitu anachofanya anahisi wanamroga SIPENDI [emoji57][emoji57]
Umeielezea vyema zaidi..yaani balaa..🤣
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Mabwege vyakula vya wajanja, basi nenda kwa Gwajima.
 
kufa ni chemical change (badiliko la kikemikali) kama umefika darasa la sita utakuwa ushaelewa asikudsnganye mtu utapigwa hela mara ndugu katangulia full majonzi pole sana
 
Nachojua mzazi ni Mungu wa 2 duniani mzazi akisikitika tu mambo yako hayataenda muombeni msamaha aise kabla hajaondoka duniani huyo mzee..anywys poleni...lakini kwanini msiache lipite mmkabidhi Mungu jambo hili?

Koo zinazoamini haya mambo mie naogopa hata ujirani nao aise🙌
Baada ya kusoma huu uzi ndo nimemwelewa baba yangu aliposema tuchunguze familia ya yule mchumba wangu kama ina laana yoyote. Kila mtu alimshangaa baba ila kupitia huu uzi nimemwelewa.
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Wasiliana na Mshana Jr atakusaidia Elimu zaidi
Ova
 
Back
Top Bottom