Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
ndo maana serikali inataka mfanye usaili na mitihani upya kabla ya kuajiriwa kama walimu.
 
ndani ya 40 days, huwa inawezekana kirahisi sana.. ila nje ya hapo kazi huwa pevu na anaweza akarudi asiwe normal
Inategemea walio chukua wameanza kum haini lini, wengine siku 3 tyuuh.

Ila % nyingi wanasubiri had 40 ipitee.
 
Km wataalamu wamewaambia mzazi ndo kaua, means wanajua huyo mzazi kamficha wapi huyo mtoto, ndo maan wamewaaambia ili mumbane vizuri huyo baba aseme mwenyewe.

Sasa km anakataa, muacheni ila muambieni ukweli kuwa tunafanya jitihada za kumrudishaa, wee usimfanye chochote, huko uliko mficha muache km alivyooo. Km haja muhaini anarudi fresh tyuuh. Ila km sivyo atarudi abnormal.

Mambo km haya huwa wanafanya ndani ya siku 14 wakati wa tukio, sehemu zingne hawaziki hata. Hadi wajue hitimishoo.
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.

Hakuna mtaala anayeweza ku reverse hilo zoezi, huyo kaenda moja kwa moja. Tena Mmeanza msumbu huyo Mzee, ndo ataenda mtesa na kukazia kumhukumu dogo.
 
Km wataalamu wamewaambia mzazi ndo kaua, means wanajua huyo mzazi kamficha wapi huyo mtoto, ndo maan wamewaaambia ili mumbane vizuri huyo baba aseme mwenyewe.

Sasa km anakataa, muacheni ila muambieni ukweli kuwa tunafanya jitihada za kumrudishaa, wee usimfanye chochote, huko uliko mficha muache km alivyooo. Km haja muhaini anarudi fresh tyuuh. Ila km sivyo atarudi abnormal.

Mambo km haya huwa wanafanya ndani ya siku 14 wakati wa tukio, sehemu zingne hawaziki hata. Hadi wajue hitimishoo.
Kumbe nawe ni mshirikina
 
Hata mimi mama yangu alishaskitika sana juu yangu,cha ajabu ambao hawasikitikii maisha yao ni magumu sana kuliko yangu,tuache kukalili,Kuna wazazi ni mashaitwani kabisa

Nilishawahi kuandika hapa kuwa kama Mzazi maneno yake yangekuwa yanashika basi Watu wengi wangekuwa na Maisha mazuri.
Lakini wengi waliombewa Maisha ya baraka na Wazazi wao ikiwemo kufanikiwa kiuchumi lakini Maisha Yao ni magumu
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Ukifanikiwa nakuomba umuunganishe na jiwe.
 
Habari wakuu!

Heshima kwenu wana jukwaa mliojaa maarifa na utambuzi wa mambo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada;

Nilileta maada tajwa hapo juu....kiufupi sisi ni watu tunaotokea mkoa wa morogoro lakini nadhani background yetu haiwezi kuwa na umuhimu katika hili.

Nimekuja tena ndugu yenu kuwapa mrejesho wa hili jambo na baada ya kumaliza nitaomba ushauri kutoka kwenu wakuu.

Kiukweli tunasikitika kwamba baada ya kutafuta suluhisho la tatizo kwa wataalamu mbali mbali tumekuja kujua ya kwamba baba mzazi wa marehem ndiyo muhusika mkuu wa kifo cha mtoto japo yeye amekana kabisa lakini wataalamu wote ambao tumeenda ndiyo wamesema kwa baba ni muhusika mkuu, najua hii kauli italeta mjadala lakini naomba nisinukuliwe vibaya...kuna watu hawaaamini katika ushirikina lakini naomba muwe wavumilivu katika hili.

Nisiandike sana wakuu maana nina mengi ya kusema lakini cha muhimu naomba kupata ushauri kutoka kwenu, ni hatua gani tunapaswa kufanya ili kulitatua hili tatizo kwa namna yoyote ile.

Pia Kama kuna mtaalam anayeweza kutusaidia kushughulikia hili jambo atusaidie

Angalizo: Mnaotukana na kujibu vibaya mbarikiwe sana kwasababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika familia yenye matatizo.

Karibuni.
Nitafute in box
 
Kama mna binti bikra wa kumpa mtaalamu njoo PM tumalize kazi chap kwa haraka.
Mna asili ya Morogoro sehemu gani?
Maana kule nako uchawi ni wa kumwaga.
 
Nyie hamna akili sasa kama alihemuuwa huyo jamaa yenu ni baba kwa nini msimuuwe huyo baba kwa nini mnaishi na mchawi
 
Back
Top Bottom