Mrejesho: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha


Wee jamaa bhana...!!!
Huko kwa hao wataalam ulikoenda ulishauriwa na wanajf uende kwa mtaalam yupi na yupi kwenye uzi unaosema ulileta?
Hadi kufika kwa hao wataalum unaosema ni wote walisema ni baba anahusika, hawakushauri cha kufanya ama ushauri wao walikwambia uje jf kuomba ushauri wa nini cha kufanya...?
 
ndani ya 40 days, huwa inawezekana kirahisi sana.. ila nje ya hapo kazi huwa pevu na anaweza akarudi asiwe normal
 

Mzazi wa Diamond, Ommy Dimpoz, na wengineo walisikitika na mambo ya Watoto wao yanaenda tuu.
Acha Imani za kizamani na kijinga
 

Sasa hao unaowaita wataalamu si ndio wawasaidie? Kama kweli ni wataalamu wanashindwaje kutoa suluhisho?
 
Nyie tulieni ka hajafa atarudi tu na kama kafa hatorudi,shida iko wapi,siwezi dharau uchawi maana ndo tamaduni za kiafrika,
 
Mhhhh
 
We naye chenga sana,wapi kasema yeye ni msukuma,au morogoro wanaoishi pale ni wasukuma!?
 
Poleni,ila mkubali kuwa ndugu yenu amisha kufa na hamtamuona tena! Vingine unavyotaka haviwezekani ,nakama vingekuwa vinawezekana wote tunge Fanya hivyo Ili ndugu zetu walio tangulia mbele za haki ,tuwarudishe tuendelee kuishi nao.
 
Mzazi wa Diamond, Ommy Dimpoz, na wengineo walisikitika na mambo ya Watoto wao yanaenda tuu.
Acha Imani za kizamani na kijinga
Hata mimi mama yangu alishaskitika sana juu yangu,cha ajabu ambao hawasikitikii maisha yao ni magumu sana kuliko yangu,tuache kukalili,Kuna wazazi ni mashaitwani kabisa
 
Amefariki mda gani mkuu kama imechukua miezi na wamekwambia yuko Gamboshi a.k.a Diningi mkuu bora umuache.

Ila kama yuko kwa mtu than go huko Usukumani, Simba wanga, Tanga, na Pwani watakupa maelezo km inawezakana ama laa.
 
Hawawezi. Wale pia ni kama waganga wa kienyeji.
Wataalamu wapo, ila wengi wanaogopa kuwarudishaa duniani wanakua km misukule, hata jamii itawakimbia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nakupa namba ila kama atakutapeli mimi sitahusika, ila namuamini 85% kama alikufa kifo cha kusabbabishwa anaweza kurudi
Wanaweza kuvumilia??jamii itampokeajee huyo marehemu??
[emoji23][emoji23][emoji23] wengi ndo wanaogopa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…