Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

Hawa maafisa vipenyo kwenye upinzani wamejaa, usikate hata faru John mlamba asali wa Ufipa nae yupo.
 
Ile nyumba aliyonayo ni nzuri mengine ni ziada. Magorofa ya nn na unalala chumba kimoja? Watoto wawezeshe wajenge zao ukivutiwa kila mmoja mpe moja ya kawaida.
 
Halafu Mimi huwa nikiwaita misukule au wakiitwa nyumbu wanakasirika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…