Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wewe ke au me tuanzie hapo kwanza maana siku hizi sizo!Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.
Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.
Nawatakia jumapili njema,
Nawasilisha.
Me halisia kabisa, with zero defectWewe ke au me tuanzie hapo kwanza maana siku hizi sizo!
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.
Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.
Nawatakia jumapili njema,
Nawasilisha.
Wako bize wanapika pilau au? πWarembo wako busy leo
Popote pale alipo atafikiwa na bwana equation x πIyo kaunta isiyo na location itakua ni kaunta atack
Sawa mwl wa mathePopote pale alipo atafikiwa na bwana equation x π
ha ha ha upo chimbo la wapi?Sawa mwl wa mathe
Nipo ikwiriri mkuu huku hakunaga kauntaha ha ha upo chimbo la wapi?
Hakuna vya bure huyo mrembo akitoka hapo nnyeye ajiandae kuwa red wine πππNipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.
Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.
Nawatakia jumapili njema,
Nawasilisha.
Ndio kuzuri huko, kibunda kinakaa muda mrefuNipo ikwiriri mkuu huku hakunaga kaunta
Kama umependeza kuliko wote, njoo meza kuu πWewe nawe[emoji23]
Sina madhara yoyote, njoo meza kuu tufurahi pamoja πHakuna vya bure huyo mrembo akitoka hapo nnyeye ajiandae kuwa red wine πππ
Nawasubiri hapa waje, atakayependeza kuliko wote atatunukiwa zawadi πWenzetu medula huwa zinafanya kazi sawa sawa kabisa?
Me na ke zikisha kutana Tu lazima madhara yawepoSina madhara yoyote, njoo meza kuu tufurahi pamoja π
Neno TUTOKE lilitosha kabisa hapakuwa na haja ya kuongezea neno WOTE PAMOJA. Watu kama nyie ndo mnasababishaga vikao visisishe.Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.
Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.
Nawatakia jumapili njema,
Nawasilisha.
Ebu njoo hapa meza kuu uthibitishe hiloMe na ke zikisha kutana Tu lazima madhara yawepo