mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
acha tu niendelee kuteseka nyuma ya keyboardAchana naye, yeye mwenyewe mpk leo hajui kapendewa nini?? 🤣🤣🤣
kwa sasa sina cha kufanya😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha tu niendelee kuteseka nyuma ya keyboardAchana naye, yeye mwenyewe mpk leo hajui kapendewa nini?? 🤣🤣🤣
Mbona Ms macho naye anakupenda shem wangu 😂😂acha tu niendelee kuteseka nyuma ya keyboard
kwa sasa sina cha kufanya😂
🤣🤣🤣Mbona Ms macho naye anakupenda shem wangu 😂😂
[emoji23][emoji23]Itabidi umbea wa humu, muwe mnalipia
Na me nipate chochote kitu [emoji1787][emoji1787]
nifungulie code ananiitaga mtoto nikajua ananichukia😥Mbona Ms macho naye anakupenda shem wangu 😂😂
🤣🤣🤣 nipeni maua yangu!!🤣🤣🤣
Wewe tena kwa upambe🤣🤣🤣
Huyu dogo tumuweke kwa mama k[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa na wewe si ndo urefushe wako muende sawa!! Hebu mtaje basi mana unawataka wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni kweli binti macho unanidatisha
Kafa kaoza hiyo ya kukuita mtoto ni katika kukushtua uchangamkie fursa.nifungulie code ananiitaga mtoto nikajua ananichukia😥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nipeni maua yangu!!
Nimeona wote mnapendana, ila mnaviziana nani amuanze mwenzie
Mama k atamuweza? 🤣🤣🤣Huyu dogo tumuweke kwa mama k[emoji23]
Thubutuuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Utabiri wako ni batili
Hapo nishamaliza[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hebu njoo kwa mara nyingine
Hizo likes naomba zigeuze ziwe msg za Imethibitishwa 😉Hapo nishamaliza[emoji23]
Nenda basi kamtumie msg pm, na yeye inaonekana kakuelewa. Ukishindwa hapo ndio basi tenaacha tu niendelee kuteseka nyuma ya keyboard
kwa sasa sina cha kufanya[emoji23]
Mambo yale ya finger coils[emoji23][emoji23]Kantri hizi likes naomba zigeuze msg za imethibitishwa puliiiizz!!!
Hapa kwa hesabu za haraka sikosi 1million ya kwendea aristote [emoji23][emoji23][emoji23]
Umekosea leo sasa🌚😒Thubutuuuuu 🤣🤣🤣
Sijawahi kukosea me
Basi abaki hapo kwa huyo eyesMama k atamuweza? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule habari nyingine
Mnavyompa promo Halafu huku Ms Eyes wala hata katulia zake😎Nenda basi kamtumie msg pm, na yeye inaonekana kakuelewa. Ukishindwa hapo ndio basi tena