Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
👩🏻🦱👩🏻🦱👩🏻🦱
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwamba unaona uvivu kutype au....[emoji2586][emoji2586][emoji2586]
Ain’t emoji’s been typed too😄😄😄napenda kutumia lugha ya ishara zaidNi kwamba unaona uvivu kutype au....
Nakusubiri wewe tutoke woteToka tu mwenyewe tusichoshane😁
HunipatiNakusubiri wewe tutoke wote
Wenye ulemavu ndio hutumia sana lugha ya isharaAin’t emoji’s been typed too😄😄😄napenda kutumia lugha ya ishara zaid
Kwani unapiga mizinga?Hunipati
Daaah dogo langu unahangaika sana.Mrembo gani ambaye ni mkali sana asiyepiga mizinga humu, tutoke naye siku ya sikukuu ya Iddi.
Siku ya sikukuu ni siku ya kufurahi na marafiki; kama una sifa tajwa njoo hapa jukwaani ujieleze namna usivyonipiga mizinga katika siku ya kufurahi na marafiki.
Sasa ulitaka kijana mdogo akufanyie nini kwa mfano?Hunipati
Miss you mzee mwenzanguSasa ulitaka kijana mdogo akufanyie nini kwa mfano?
Miss you kishkwambi changu😂Miss you mzee mwenzangu
Hapana mie sipigagi mzinga dear ila naomba hapo elf 40 ya chap nna dharura hapa, i love you my wanguKwani unapiga mizinga?
SHida yako unapatikia wanaume weupe, ona asivyojua thamani yako, roho imeniuma sanaaBora ningekuwa wako tu😭😭😭😭
Mtu ana rangi Kama ya Lionel Richie nachomokaje Sasa?SHida yako unapatikia wanaume weupe, ona asivyojua thamani yako, roho imeniuma sanaa
Kuna mchongo fulani hivi nausikilizia, ukitiki tu nakuongezea sifuri tatu (000) nyingine, kwa sababu ulichoomba ni kidogo mno.Hapana mie sipigagi mzinga dear ila naomba hapo elf 40 ya chap nna dharura hapa, i love you my wangu
Endelea kuteseka na akutese kweli kweliMtu ana rangi Kama ya Lionel Richie nachomokaje Sasa?