Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.

Niki-Google hilo nitapoteza maana ya mimi kwenda chuo.
Narudia mania na depression ni vitu viwili tofauti. (Ukitaka nikupe utofauti nitakupa kwa faida yako)
Hamna kitu kama maniac depression (ilishabadilishwa jina) ila bipolar disorder upo sahihi , na hii inapresent na either features za mania au depression with previous history of depression or mania respectively.
( watu wenye depression hawaongei sana , karekebishe bandiko lako)
 
Hahaa.
Kweli ni bikira mwenye watoto watatu.
Ila jamani dada yule uzuri wake sijaupatia mfano.
Kama malaika ni wazuri kushinda Zari basi mbinguni ni kuzuri sana aisee.

Hii sasa sifa.....

Umewahi kufika uarabuni, Vienezuela, Puerto rico na kucheki Indian movie?

Kwanza uko kote mbali umewahi kufika Cape town South Africa?

Wakiitwa wanawake 100 wazuri duniani Zari hawezi kupata nafasi hiyo. Haya ndio matatizo ya wabongo wengi kukosa exposure.

Hivi hata ndege huwa hampandi jamani?

Zari si ndio huyu?
 
Matola tunatofautiana uwezo...wengine tunaziona ndege kwenye picha tu..halafu uzuri wa mtu hutofautiana kwa vigezo vya mtu na mtu
 
Last edited by a moderator:
Mhh umbea shida hhhaha dah watu povu linawatoka kumbe no mambo yamitandao ingekuwa live cijui ingekuwaje. Yaaaan mi cijui tu bana wadada bana
 
Hahaha kuna watu wana mahaba mpaka wanapitiliza uwezo wa akili kukubali.

Zari ni mzuri ndiyo , lakini hayo maneno ya mdau hapo juu yamezidi.
 

Ww ndio naweza kupoteza energy yangu kulumbana na wewe sbb unaonekana una akili nyingi kama mimi hahaa.Ningegundua huna kitu kichwani hata nisingehangaika kukujibu.

Twende kazi.
Ulichosema sion tofauti na nilichosema sema tu wewe una elements za ubishi.Unaonaje uka refer vitabu vyako tena kabla hujanambia nirekebishe bandiko langu.

Halafu unaonaje huu ubishi tukauhamishia sehemu nyingine tulivu ili tubishane kwa utulivu huku tuki sip kinywaji baridi badala ya kujaza saver za JF bila sababu?.Nategemea kujifunza mengi toka kwako hivyo tuhamie sehemu nyingine.

I suggest @ Serena.
Vinywaji na chochote utakachoagiza juu yangu.LOL
 

Haaaa!ntapitia kujifunza!
 

Aiseeeh! Basi sawa ,wacha mimi nisiye na kitu kichwani nikubali ya kuwa upo sahihi kila ulichoandika na una akili mingi sana unajua kila kitu.

Have a nice day genius.
 
Dude una hasira na matola duu
Y don't u prove him kwa uongo
How old is zari and king Ivan?

Hapana, umekosea sana.

Mimi sina hasira na huyo bwana.

Na sijamkatalia kuwa Zari ana miaka 40.

Nilichofanya ni kuuliza tu yeye (huyo Matola) kajuaje kuwa Zari ana miaka 40.

Ni swali jepesi tu hilo na angeweza kulijibu kama ifuatavyo:

1) Anamjua Zari tokea zamani
2) Keshawahi kumsikia yeye mwenyewe akisema kazaliwa lini
3) Keshawahi kuona cheti chake za kuzaliwa au aina ingine yoyote ile ya utambulisho rasmi
4) Angeweza tu kusema anakisia
5) Na kadhalika, na kadhalika

Lakini hajafanya hivyo na badala yake amekuwa akikwepa kwepa tu kusema kajuaje.

Sasa mimi kumwuliza mtu swali jepesi namna hiyo ndo kuwa na hasira naye?

Hapana hata kidogo.

Sina hasira naye, sina sababu ya kuwa na hasira naye na sijawahi kuwa na hasira naye.
 
Mbona wenzie kina Chaga ,Linda wako marekani huko huko na wameiva wamenawiri wanavutia ile mbaya.
Mange siku hizi kawa mkavuu sijui nini mbaya maskini.

Chagabarbie hana mtoto na anaishi minesota sijui. Linda yes ana watoto anaishi atlanta...gharama za kuishi atlanta na california ni vitu viwili tofauti sanaaaaaaa....yeye mange kaja juu anataka kuonesha wafuasi mambo mazuri. Mpaka leo hii huo mjengo wa beverly hills haoneshi kazi kupiga picha akiwa out tuu sio nyumbani kwake. Navyojua mimi kuown nyumba california ni shiiiida. Sio tuu morgage kuna taxes sasa ukiishi na matajiri ujue utalipa property na school taxes za kitajiri ndo maana kina linda na chaga wamenawiri, hawajakurupukia maisha ya marekani washayazoea wameshakaa siku nyingi wako kwa system sio mange alipata solicitation ya credit card ya american express akaipiga picha akaibandika kwa blog akasema eti makampuni makubwa yanamtafuta yampe mkopo hapo ndo nilipojua kumbe badooo sana manake hizo solicitations hata paka wangu anapata 4 kwa wiki
 
Halafu akienda texas anapiga picha za ndani kwa wakwe zake anatuwekea,ila kwa wakwe zake wemekuja Christimass,aliweka picha wakiwa out tu,hajawahi kuweka picha za ndani kwake,sijui kwa nini?kwa nini za ndani kwa wakwe anaweka?kwake no.Why?
 
Halafu akienda texas anapiga picha za ndani kwa wakwe zake anatuwekea,ila kwa wakwe zake wemekuja Christimass,aliweka picha wakiwa out tu,hajawahi kuweka picha za ndani kwake,sijui kwa nini?kwa nini za ndani kwa wakwe anaweka?kwake no.Why?

Tatizo maisha ya kuishi kuwafurahisha anonymous asiowajua na mawaziri ambao mpaka leo hii sijui kama washapewa zile maternity dresses na LV bag...labda anaona kwake not up to par kuringishia. Again kuown nyumba nzuri huston texas doesnt take much at all
 
Kazi kweli kweli...

Huyo Mange ana tija gani kwetu Hadi awe Agenda?

Acheni Wafu Wazikane..
 

Eti kama malaika duuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…