Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
" Uwiii jamani saa 7 mchana hii sijafanya lolote nimekalia umbea tu. Keanu hata uji hajanywa, mwanangu analia njaa mamake nimekalia umbea… Uwiii byeee, ngojeni nimlishe mtoto then nichat na wateja niache umbea jamani…"

Hayo hapo juu sio maneno yangu ni maneno ya Mange mwenyewe, nimeyatoa kwenye blog yake.Nawaonea huruma watoto wa Mange hasa kale kachanga maskini ya Mungu.Mama yao anatumia nguvu nyingi kujaribu kufanya watu wamuone Zari choka mbaya kitu ambacho hakiwezekani.Mange Kimambi nilikua nakupenda na nilikua naona unaonewa kwenye maugomvi yako ila siku ile ulivyoandika umemuacha mwanao mchanga hadi saa saba bila kumlisha kisa tu umponde Zari ambaye humfikii hata tone nilikuchukia sana.Kwanini malaika wa Mungu ateseke bila hatia?

Nimegundua wewe dada una wivu sana ndio maana umebaki mpweke huna hata rafiki mmoja.Wewe ni binadamu gani umegombana na kila mtu?Nina uhakika huko Marekani ulipo inaweza kupita hata miezi sita hujacheka coz rafiki pekee uliye naye ni mumeo.Pia inaonesha upweke umekuletea depresion sbb kwanza hata kwenye picha zako inaonesha huna furaha,pili watu wenye depresion wanaongea sana ndio maana unaandika migazeti mirefuu halafu unaongea hata vitu ambavyo vilitakiwa vibaki siri.Ungekua huna depresion usingeandika hadi saa saba hujamlisha mtoto ila kwa vile una depresion huwez kucontrol nini useme nini usiseme.

Shame on you Mange,you are a bad mother. I wish i could take Keanu from you coz you cant take good care of that lil cute prins.Halafu sasa inachekesha jinsi Mange anavyoandika migazeti kila siku yakuonesha kwamba Zari ni mama mbaya wakati huo huo yeye anashindisha kichanga chake na njaa akiwa busy kuonesha ulimwengu kuwa Zari ni mama mbaya.

Yaani uko busy na Zari hata hollywoodshopaholics huna time nayo tena.Dada hao watoto uliwaleta duniani kwa mapenzi yako nakuomba wivu na chuki zako kwa wanawake wenzio isiwe mateso kwa hao wanao malaika wa Mungu wasiojua na hatia.They are too cute to suffer for no reason please i beg you Mange.

Hebu jiulizeni kama hadi saa saba mtoto analia njaa hajapewa uji unafikiri hata diaper aliyoamka nayo ilibadilishwa?Sidhani.Nina uhakika hadi hiyo saa saba Mange alikua kwenye pajama aliyoamka nayo hajapiga mswaki wala kusafisha nyumba yake wala kubadili kufuli aliloamka nalo.Upweke ni mbaya sana jamani huyu Mange angekua na rafiki japo mmoja tu sidhani kama angepata hata muda wakuandika migazeti yake kuponda wenzie.

Mange tafuta marafiki coz its obvious huna social life.Sio vizuri kuishi kwa upweke.Upweke ni ugonjwa na unaishia na watu kujiua.Hata umshushe vipi Zari kamwe hutamfikia sababu mwenzio kwanza ana social life ana furaha anakutana na rafiki zake wanasogoa wanacheka wewe umebakia nahesabu mahela.Hizo hela zitakupa umbea?Zitakuchekesha au zitakupa furaha ambayo mtu anapata akiwa na marafiki?Ukitaka kucheka na shoga inabidi upande ndege from LA to Houston kwa Theo na Led Pet.Halafu mbona hatuoni wakija kukutembelea?Au wewe ndio unawahitaji zaidi ya wao wanavyokuhitaji hivyo wakuone wasikuone kwao poa?

Halafu wote unao wa beef ni wazuri hatari.Yaani ukiwekwa ktk line moja na Zari.Linda.Shamim.Sintah Starlisha sidhani kama kuna mwanaume atakuangalia wewe.Na unalijua hilo ndio maana kila siku migazeti yako kuwaponda.Hivi Mange kwa akili zako unadhani wewe mwenye lonely life usiye na shoga wakula naye bata unaweza kuwakosesha raha kina Zari na kina Shamim wenye social life wanakutana kula bata na mashoga zao kila siku?

Magazeti yako yanayotokana na maisha yako ya stress za upweke haziwakomoi hao unaowaonea wivu bali zinawatesa wanao uliowazaa mwenyewe.

SIPENDI KUONA WATOTO WAKITESEKA KWA SABABU ZA KIPUMBAVU.
TUWALINDE WATOTO.




wewe mtu upo insta, uandishi wako ninauonaga kule, ila dizaini kama kimambi kashakuwa sugu vile?? kwa sababu kama ni kuchambwa ameshachambwa sana tuu.
 
Chagabarbie hana mtoto na anaishi minesota sijui. Linda yes ana watoto anaishi atlanta...gharama za kuishi atlanta na california ni vitu viwili tofauti sanaaaaaaa....yeye mange kaja juu anataka kuonesha wafuasi mambo mazuri. Mpaka leo hii huo mjengo wa beverly hills haoneshi kazi kupiga picha akiwa out tuu sio nyumbani kwake. Navyojua mimi kuown nyumba california ni shiiiida. Sio tuu morgage kuna taxes sasa ukiishi na matajiri ujue utalipa property na school taxes za kitajiri ndo maana kina linda na chaga wamenawiri, hawajakurupukia maisha ya marekani washayazoea wameshakaa siku nyingi wako kwa system sio mange alipata solicitation ya credit card ya american express akaipiga picha akaibandika kwa blog akasema eti makampuni makubwa yanamtafuta yampe mkopo hapo ndo nilipojua kumbe badooo sana manake hizo solicitations hata paka wangu anapata 4 kwa wiki

Linda ana miaka 43 sasa ameanza life la mamtoni akiwa na 18 tu Italy ni makosa makubwa kumlinganisha Linda na huyu chakubimbi Mange.
 
Sio lazima ucomment post hii kama haina tija kwako!

Halafu unajua uliahidi utapitia kujiunga na sisi kujifunza.
Yaani nakusubiri hapa masaa hutokei nimenunua kifanta changu kimoja nakinywa kwa ile style aliyotufundisha Mange tukiwa lindo kutafuta mabuzi ya kizungu.Lol.
Yaani wahudumu wananitizama hawanimalizi maana wanaona nainywa lkn haisogei.LOL
Ni mwendo wa kunyanyua chupa najifanya napiga fundo kumbe nalamba chupa then nairudisha mezani.
Halafu kuna kibabu cha kizungu hapa kimeingia ngojea ni apply zile mbinu alizotupa Mange.LOL

Njoo bana nimechoka kulamba chupa au foleni kali.
 
Halafu unajua uliahidi utapitia kujiunga na sisi kujifunza.
Yaani nakusubiri hapa masaa hutokei nimenunua kifanta changu kimoja nakinywa kwa ile style aliyotufundisha Mange tukiwa lindo kutafuta mabuzi ya kizungu.Lol.
Yaani wahudumu wananitizama hawanimalizi maana wanaona nainywa lkn haisogei.LOL
Ni mwendo wa kunyanyua chupa najifanya napiga fundo kumbe nalamba chupa then nairudisha mezani.
Halafu kuna kibabu cha kizungu hapa kimeingia ngojea ni apply zile mbinu alizotupa Mange.LOL

Njoo bana nimechoka kulamba chupa au foleni kali.
Nakuja nakuja,agiza maji madogo!
 
Halafu unajua uliahidi utapitia kujiunga na sisi kujifunza.
Yaani nakusubiri hapa masaa hutokei nimenunua kifanta changu kimoja nakinywa kwa ile style aliyotufundisha Mange tukiwa lindo kutafuta mabuzi ya kizungu.Lol.
Yaani wahudumu wananitizama hawanimalizi maana wanaona nainywa lkn haisogei.LOL
Ni mwendo wa kunyanyua chupa najifanya napiga fundo kumbe nalamba chupa then nairudisha mezani.
Halafu kuna kibabu cha kizungu hapa kimeingia ngojea ni apply zile mbinu alizotupa Mange.LOL

Njoo bana nimechoka kulamba chupa au foleni kali.

Siku nyingine unapokwenda hotel bajeti yako ya mawazo na unataka kukaa muda mrefu agiza coffee hawakufati tena maana unaletewa kibirika kina maji moto, maziwa, hahawa na tea, sukari kwenye vipaketi na aina fulani ya vibiskuti nimevisahau jina.

Unaweza kuspend half day na laptop yako unafanya yako bila bugudha.

Pale Kilimanjaro hotel kabla hawajaifunga wireless internet yao tulikuwa tunapigana vikumbo na wahindi unadownload mavitu bure huku unasoma magazeti ya bure.
 
Kuna mtu alinistuwa ndio ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kupita uko.

Mtu humjui hakujui akakushupalie kwenye blog kwa mambo ya JF kama si uchizi kitu gani?

Ila kwa Intelijensia yangu nimebaini Sinta hapa ni member na hoja za hapa zinamzidi kimo ndio hasira zake anahamishia kwenye kiblog chake.

Blog zote kabla ya kupublish comment zinapitiwa kwanza, kwahiyo upumbavu wowote ukiukuta kwenye blog ujuwe una baraka zote za mmiliki.

hamna sio sintah ila kuna members humu mafisi na wanafki ndo wanaenda kule kuponda huku wanakua wnakuogopa ndo maana wanafanya hvyoo
mi nawaona wehuu tu mana mtu anakupa umaarufu kunuka hv hv..
 
halafu mr wake kapata demu texas ama?maana kafuta picha za anniversary na christimass
mmmhhhhhh ni shidaaa

Halafu akienda texas anapiga picha za ndani kwa wakwe zake anatuwekea,ila kwa wakwe zake wemekuja Christimass,aliweka picha wakiwa out tu,hajawahi kuweka picha za ndani kwake,sijui kwa nini?kwa nini za ndani kwa wakwe anaweka?kwake no.Why?

hahaaaaa abaki njia kuu jamani
kuna child support hukoo majuu
 
Fact.
Halafu hampendi Zari sbb ya Sintah.Hampendi Eve collection sbb ya Shamim.
Sasa kama atagombana na kila rafik wa adui yake si atagombana na Dar nzima coz hao anaowachukia wana marafiki wengi unlike yeye mwenye 0 friend.

Sasa alivyo addicted na ugomvi kaona anatamani maisha ya Zari huyoo mbio kaanzisha beef.

Mdau umesahau,hampendi Nargis mohamed sababu ya linda
 
Mdau umesahau,hampendi Nargis mohamed sababu ya linda

Hatari.
Sikua najua hii.
Alimuweka kwa blog yake au?
Kusema kweli Mange anatia huruma.
blogger wote wanashirikiana yeye peke yake ndo katengwa.Wenziwe wanapeana birthday wishes yeye tu ndo hawamuwish wala yeye hawish wenzie.
 
hamna sio sintah ila kuna members humu mafisi na wanafki ndo wanaenda kule kuponda huku wanakua wnakuogopa ndo maana wanafanya hvyoo
mi nawaona wehuu tu mana mtu anakupa umaarufu kunuka hv hv..

Kazi wanayo by the way mimi wala siyo mshabiki wa hizo blog zao za watu wanaopaswa kuwa wodi za vichaa.

Mjengwa blog inatosha sana kwa mahitaji yangu nje ya JF.
 
Kazi wanayo by the way mimi wala siyo mshabiki wa hizo blog zao za watu wanaopaswa kuwa wodi za vichaa.

Mjengwa blog inatosha sana kwa mahitaji yangu nje ya JF.

mi mbona nshachambwa kule sana tena yule aliefanya vile i know why and she is here reading what am talkin abt but i dont give a damn about anythin
zaidi nimewadharauvba kuwaona hawajielewi na nkashangaa kumbe kuna watu wananiogopa aisee daah!!
 
Hatari.
Sikua najua hii.
Alimuweka kwa blog yake au?
Kusema kweli Mange anatia huruma.
blogger wote wanashirikiana yeye peke yake ndo katengwa.Wenziwe wanapeana birthday wishes yeye tu ndo hawamuwish wala yeye hawish wenzie.

kosa ni kitendo cha nargis kulike picha za watoto wa mange kwa mbuta nanga kipindi cha ugomviugomvi wao
ndo akasema we muache tu ipo siku ake na akaacha wwatu wamchambe nargiss ANGEJUA NARGIS anamzidi alivyo mkyutiiiiii
 
Hatari.
Sikua najua hii.
Alimuweka kwa blog yake au?
Kusema kweli Mange anatia huruma.
blogger wote wanashirikiana yeye peke yake ndo katengwa.Wenziwe wanapeana birthday wishes yeye tu ndo hawamuwish wala yeye hawish wenzie.

Mamaa alimtukana eti amepinda kiuno cjui nn na kuachia comments za misukule yake ikimnanga mtt wa nargis eti wa sura,mhh mange huyo kisa nargis ana undugu na linda jaman,kwel nimeamini ana stress za kuzidiwa kimaisha na wenzie,afu ana hii tabia ya kuthamini wazungu why jamani,?yn kuolewa na mzungu anaona amefika haswaaa huyo mzungu atamuacha vibaya sn as wazungu uswazi hawawez na lazima hata huyo lance anafanyiwa vituko tu,namuonea huruma sn mange as hajitambui na elimu yake haijamsaidia kitu mskini
 
kosa ni kitendo cha nargis kulike picha za watoto wa mange kwa mbuta nanga kipindi cha ugomviugomvi wao
ndo akasema we muache tu ipo siku ake na akaacha wwatu wamchambe nargiss ANGEJUA NARGIS anamzidi alivyo mkyutiiiiii

Nargis m cute halafu anaonekana mpole.
Yule kafikia mahali hajui nani mwema nani mbaya.
Sasa anasema ipo siku yake kwani atamfanyaje zaid yakumuandikia gazeti.
Na hao aliowaandikia magazeti yake sijaona hata mmoja wao aliyemeguka sehemu sana sana yeye ndo anajizidishia stress.
 
halafu mr wake kapata demu texas ama?maana kafuta picha za anniversary na christimass

au ndo maana bi shost kajinadi ana stress?
Akiachwa atawehuka yule, namuombea tu yaishe na stress zake ziishe maana mashauzi yake ni ya peke yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom