No,baba yake yupo London,naona alikuwa ndo kawa yaya huk USA,kagoma kurudi kwa mama yake.Kaona bora kuishi na baba yake pamoja na step mom,kuliko kuishi na mama na step dad wake
poor little angel, bora akajikalie kwa dady ake masikini...mi namuonaga hata sura yake inatia huruma kumbe sio tu upole ila ana yake moyoni
Baba wa binti anaishi London na mkewe na watoto wao ila wakubwa sio wakubwa wa mwisho labda miaka 5/6. Makazi ndio London ila baba anafanya shughuli nyingi so anakuwaga TZ sana.
So kwa sasa hivi wapo mjini London. Na baba ndiye aliemlea binti hadi juzi juzi hapa mama yake alipomuomba kumchukua alipopata mzungu na kuhamia kwa Obama... so naona mtoto yamemshinda ni kazi kuwa mkubwa na wadogo zako ni babies KAZI nyingi.... Nadhani aliandikaga binti alizaliwaga marekani.
bhoke karudi marekani kwa mama yake
Wewe unaujua umri wa Zari?
Zari ame takeover maisha ya Mange.Kina nikiona gazeti jipya natamani nipande ndege hadi USA nikamlishe baby Keanu maskini.I love that kid ,soo cute.
Bora amerudi aisee maana Bhoke ndo Shoga pekee Mange aliye naye.Pia afadhali Bhoke atakua anamhudumia Keanu wakati mamake aka dogiemasta akiwa anapambana na Zari.
Btw,kama mtu anataka nimhakikishie kuwa Mange ndio dogiemasta anitafute Pm.Account ya dougiemasta itamtia Mange uchizi.Akitoka Ig anakwenda U turn.Akiwa kama dougiemasta anabadilika hlf anajifanya mjinga mjinga halafu anaandika kiingereza kibaya.Ni mjanja hadi Chaga adui yake amemsifia ili kuwapumbaza watu ila hata mtu uwe mjanja vipi kuna siku utakosea tu.Watu wana mchora tu na akija na kuna kitu mtakisikia muda sio mrefu sijui mtamuonea huruma au mtamdharau mtaamua wenyewe.
Bora amerudi aisee maana Bhoke ndo Shoga pekee Mange aliye naye.Pia afadhali Bhoke atakua anamhudumia Keanu wakati mamake aka dogiemasta akiwa anapambana na Zari.
Btw,kama mtu anataka nimhakikishie kuwa Mange ndio dogiemasta anitafute Pm.Account ya dougiemasta itamtia Mange uchizi.Akitoka Ig anakwenda U turn.Akiwa kama dougiemasta anabadilika hlf anajifanya mjinga mjinga halafu anaandika kiingereza kibaya.Ni mjanja hadi Chaga adui yake amemsifia ili kuwapumbaza watu ila hata mtu uwe mjanja vipi kuna siku utakosea tu.Watu wana mchora tu na akija na kuna kitu mtakisikia muda sio mrefu sijui mtamuonea huruma au mtamdharau mtaamua wenyewe.
Bora amerudi aisee maana Bhoke ndo Shoga pekee Mange aliye naye.Pia afadhali Bhoke atakua anamhudumia Keanu wakati mamake aka dogiemasta akiwa anapambana na Zari.
Btw,kama mtu anataka nimhakikishie kuwa Mange ndio dogiemasta anitafute Pm.Account ya dougiemasta itamtia Mange uchizi.Akitoka Ig anakwenda U turn.Akiwa kama dougiemasta anabadilika hlf anajifanya mjinga mjinga halafu anaandika kiingereza kibaya.Ni mjanja hadi Chaga adui yake amemsifia ili kuwapumbaza watu ila hata mtu uwe mjanja vipi kuna siku utakosea tu.Watu wana mchora tu na akija na kuna kitu mtakisikia muda sio mrefu sijui mtamuonea huruma au mtamdharau mtaamua wenyewe.
Mhh shost mbona niliona mnyukano kati ya dougiemasta na Matikiboko yao...n dougie kalalamika Matty aliweka picha yake kisa anamdai...au ndo zuga style...!!!!????
ila nakuja pm, umbea utaniua
Ni pm umbeya na mimi jamaniBora amerudi aisee maana Bhoke ndo Shoga pekee Mange aliye naye.Pia afadhali Bhoke atakua anamhudumia Keanu wakati mamake aka dogiemasta akiwa anapambana na Zari.
Btw,kama mtu anataka nimhakikishie kuwa Mange ndio dogiemasta anitafute Pm.Account ya dougiemasta itamtia Mange uchizi.Akitoka Ig anakwenda U turn.Akiwa kama dougiemasta anabadilika hlf anajifanya mjinga mjinga halafu anaandika kiingereza kibaya.Ni mjanja hadi Chaga adui yake amemsifia ili kuwapumbaza watu ila hata mtu uwe mjanja vipi kuna siku utakosea tu.Watu wana mchora tu na akija na kuna kitu mtakisikia muda sio mrefu sijui mtamuonea huruma au mtamdharau mtaamua wenyewe.
kitu gani tena?
hebu nipm umbea huo pliis
Ni shost mwingine sio matikibokoyao bana,
Ni kweli huyo dogy atakua ni mange,,,,,halaf wanaomshabikia wanafanana kila kitu na Mange,hiyo list ya aliokosana nao kuna wengine umewasahau ila umenichekesha sana huu uzi,,niliona insta team ukweli kaweka sebule yake chafuu muda mwingi anashinda kuandika magazeti hhhhhhaaaa bora bhoke karudi aangalie wadogo zake
binamu mmmwaaaaaaaaa hatimae upo insta
woyyyuuoooooo
Basi nikajua Matty.....ila inawezekana kweli dougie akawa ndo Mange?
Ni kweli huyo dogy atakua ni mange,,,,,halaf wanaomshabikia wanafanana kila kitu na Mange,hiyo list ya aliokosana nao kuna wengine umewasahau ila umenichekesha sana huu uzi,,niliona insta team ukweli kaweka sebule yake chafuu muda mwingi anashinda kuandika magazeti hhhhhhaaaa bora bhoke karudi aangalie wadogo zake
Heheeeeeeeeee lakini mbona sio tamu vile,,
Mwaaaaaaaaaaaaaa too
Niliona kwa sinta kina Nifa wamechambwa na matola uliona nilicheka sio huyo huyo alietuchamba siee
ngoja upambe moto utablow
niliona best siku hz anachambwa matola ssna then kuna yule si mange kuna wasambinungwa humuuu wanajifanya waoga ndo wanaenda kutukana kuleee