Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
udi udi na pafyumu km unachukua jumla unafata tu dubai
ila yule dogi nyokkkoooo
mi shosti tukigombana kuongea mambo simtaki na simsamehi mapema
wale wote malaya tuuu

Ila ndo MTU aanze maisha chumba cha kupangiwa na godoro la kupewa, mtaji wa kusaidiwa...baada ya miezi sita kwa biashara ya kuuza UDI tu anaanza safari za Dubai na China kama anaenda posta...
Kumbe maisha marahisi hivyo...

Ule ni mshahara wao wa dhambi, wao si wanajifanya mabingwa wa kutukana wenzao, hatimaye wameumbuana....
 
yaani aibu tupu then wakajifanya kuzuga kumgeuzia mtu kibao kumbe wao wenyewe
hawana haya ht kidogo wale wadada
 
Jamani,Mange the mental case,kashusha magazeti ya hatariiiii kule u-turn,this time ni dhidi ya Linda,Flora na rachel temu!!dah!what a sad life!!
 
Jamani,Mange the mental case,kashusha magazeti ya hatariiiii kule u-turn,this time ni dhidi ya Linda,Flora na rachel temu!!dah!what a sad life!!

Ila wamemchokozaa jaman mi niliona kuna mtu anajiita Linda kiboko ya mange kila siku anamtukana mange,mbutananga fan na arsenal wenger kila siku kumtukana mange nikaona hapa magazet tamekaribia kushushwa anasema team ukweli na uwaz ni Mbuta basi nae ni kweli ni dogymasta,,,hao watu kwa kutukanana ni shidaaaaa queenkami Kim nana Heaven on Earth tofali ladykim mkuje kushakucha zamaniiiiiii
 
Last edited by a moderator:

ndio nilikua namsoma yume mwanamke sasa hivi
 
Heheeeeeeeeee lakini mbona sio tamu vile,,
Mwaaaaaaaaaaaaaa too
Niliona kwa sinta kina Nifa wamechambwa na matola uliona nilicheka sio huyo huyo alietuchamba siee

Uwiiiiii,hizi habari sina jamani.Ngoja nikatafute,nina muda sana sijaenda huko.Ila sijui nitaanzia wapi hadi nivione hivo vichambo vyangu.
 
Ila wamemchokoza wenyewe kama wanataka kutukana wangemtukana mange kama mange sasa wanawaingiza watoto siyo vizuri watoto wanauma
 
Last edited by a moderator:

Yaani kaandika kwa hisia na kaporomosha mijineno mpaka akawa anakosea kuandika,nadhani atakuwa alikua anatetemeka!amemchamba hadi mume wa Linda,kweli maisha yake amejitolea ugomvi!!
 
Last edited by a moderator:
Yaani kaandika kwa hisia na kaporomosha mijineno mpaka akawa anakosea kuandika,nadhani atakuwa alikua anatetemeka!amemchamba hadi mume wa Linda,kweli maisha yake amejitolea ugomvi!!

Hawa wakina linda wamejitakia wenyewe wanajua kabisa mange ni mama magazeti na kuchamba kwake ni kitu cha kawaida sijui kwa nini wanamchokoza
 
Wamemchokoza ila nayeye mgomvi anamvomchokonoa Zari kwa udi na uvumba anataka nini kama sio wa kuchambana naye...wamemchokonoa kwa sababu nayeye mchokonoz vilevile!
 
Hawa wakina linda wamejitakia wenyewe wanajua kabisa mange ni mama magazeti na kuchamba kwake ni kitu cha kawaida sijui kwa nini wanamchokoza
Ni kwa kuwa last time Mange alisema hakuna anayemuweza kwenye yale mambo,kipindi kile cha Mbuta alipomwita Koku baboon.Looking at their Lives and history Mange ni super convict wa ugomvi!
 
Ni kwa kuwa last time Mange alisema hakuna anayemuweza kwenye yale mambo,kipindi kile cha Mbuta alipomwita Koku baboon.Looking at their Lives and history Mange ni super convict wa ugomvi!

Sasa sijui ataenda immigration ili linda awe deported
 
Pamoja kua mange mkorofi lakini nao wachokozi haswa wacha yawakute..haswa linda ishuyake ya unga ni kweli tupu alikua akibemba unga miaka iyo ya tisini mwishoni namjua huyu fika tulikua tukiishi nae knyama mitaa ya makumbusho pamoja na familia yake japokua mi mdogo kwake lakini kiasi lakini habari zake tulikua tunazisikia mpaka akakamatwa marekani kwa kubemba unga akiwa na bint yake yule leyla kipindi icho uyo leyla alikua na miaka kama mitano ivi na alifungwa marekani
 
aisee mmmmhhh
mi sijaona jipya yote ya zamani pale
nimemuonea huruma sana MANGE kwa kweli
maana yale yote alishayaandikaga kipindi hicho
any way shauri zao
 
Yaani kaandika kwa hisia na kaporomosha mijineno mpaka akawa anakosea kuandika,nadhani atakuwa alikua anatetemeka!amemchamba hadi mume wa Linda,kweli maisha yake amejitolea ugomvi!!

binafsi toka nianze kumdiss leo nimemuonea huruma mwenzenu baas tu ila anatia huruma
 
Wamemchokoza wenyewe alinyamaza wakamwona mjinga siye wengine tutabaki watamazaji

Ila tu amwache Zari,maadui alonao wanamtosha!I wonder how she manages to sleep at night!!Siwezi kumtetea kwa kweli...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…