Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Wanawake bwana Hovyo sana , sasa Mushamjua Mange chizi , hana Wazazi , hana wakwe waswahili nyie wenye Maisha yenu mazuri ya staha na Mitandio yenu yanini kushabikia Ugomvi wa chizi ?? Hapo ndipo ninapowadharau Mke wa mtu upo IG unamtukana Mange wewe ni Dent mnagombea Kaka Mkuu wa shule ?? Wanafiki wakubwa si mfanye yenu ? Nyooooo mtu umeona anamashauzi ohoo analaaana pita naye mbali kutwa kumsimanga ni ndugu yenu ?? Akijavua Nguo hadharani nyie mtapata aibu ?? au mtacheka kutwa , hebu leeni Familia zenu bwana , MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI MNAMTUKANA SANA HUKO KWENYE MADUDU YENU YA IG ! OVER :shetani: WAKUBWA WOTE MNAOSHABIKIA UJINGA !
 
Safi sana Mangenita umekuwa Panya Rodi wa IG , BIG UP Fukuza fukuza hao wooote tumechoka kudharauka wa TZ kutwa kushabikia ujingaujinga , mbaya zaidi 40+ kuendelea ? Nini Laana ama !
 
Amewatusi kwenye comments au gazeti jipya?

Inasumbua anaweka updates...

achambe akimaliza asisahau kufagilia kaburi la mama ake

Nimemwona mama may her soul rest in peace ila huyu mtoto kapagawa huku, ivi hakuna namna mzungu wake akaona anayoyafanya kwenye hio blogu yake????

Labda pia ni wakati muafakaa kwenda kuongea na vodacom Customer care Services au Corporate Services this Is madness has to stop Sio vizuri Watu wazima wakavuana nguo barabarani!!!!

hakuna tusi jipya chini ya jua
mama ake tunamtaka

we muache tu ipo siku yake siku zote mwisho wa ubaya aibu ndo itakayomkuta

voda wanamlia mingo tu
yani wale wadada km yule mwingine my very close person simtaji namhifadhi halafu mstaarabu jamani na wazazi sasa wastaarabu hatari anaona donge ye kaolewa us mume kafulia ptuuuu anabaki kutukana wenzie waliowahi hapahapa bongooo
wapiii dada achana nae na mungu ailinde ndoa yako miaka elffffff

Hao wanaoenda kutukana watu wa humu kwenye blogs tupo nao humuhumu JF.
Mimi last week nimechambwa kwa sintah eti namnyenyekea Matola!Kama mtu anajiamini anifuate huku ndio atakoma.Atarudi akawahadithie wenzie.Wapuuzi sana.

Jiandaeni na Exclusive show hapahapa JF na jukwaa ni hili hili muda ni saa 9 usiku kwa saa za East Africa.

Hii show inaitwa Is hard to beleive.

Star: Mzee Kimambi, siku nitawatajia kuna mgeni atawaletea hii show na yupo tayari kupigwa ban.

Mjiandae kudownload fasta, wengine hatuna muda wa kuandika gazeti wala kuchamba mavi ya tigo mbovu.
 
Last edited by a moderator:
hv yule anampenda nani?zaidi ya ye mwenyewe na huyu nasritio yaonekana ni ndugu yake mange kwa mama ake

Dah Lakini ata iweje mama ni Mama Tu aisee ukimsitiri Hamna atakaejuaa mapungufu Yake mbona Daimond anampendaa Mama Yake Sana na Alikuwa Anaishii tandale na ugonjwaa sio tatizo yaani Hawa Kweli ni Washenzi huyo dougiemasta 16 alianza kumtukana Mama Yake zari ni mmchovu ndugu zake zari wakapost Mama Yao ni mgonjwa wa kisukarii na presha na Yupo kwenye matibabu na Baada ya Hapo zari ndio anampost kila siku kuwaonyesha hawaogopi na ujinga wao.Ila nimeumia Kama Kweli ni Mama Yake na Ana mkanaa hii ni laana sio Siri na laana ya Mama ni mbaya!
 
Wanawake bwana Hovyo sana , sasa Mushamjua Mange chizi , hana Wazazi , hana wakwe waswahili nyie wenye Maisha yenu mazuri ya staha na Mitandio yenu yanini kushabikia Ugomvi wa chizi ?? Hapo ndipo ninapowadharau Mke wa mtu upo IG unamtukana Mange wewe ni Dent mnagombea Kaka Mkuu wa shule ?? Wanafiki wakubwa si mfanye yenu ? Nyooooo mtu umeona anamashauzi ohoo analaaana pita naye mbali kutwa kumsimanga ni ndugu yenu ?? Akijavua Nguo hadharani nyie mtapata aibu ?? au mtacheka kutwa , hebu leeni Familia zenu bwana , MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI MNAMTUKANA SANA HUKO KWENYE MADUDU YENU YA IG ! OVER :shetani: WAKUBWA WOTE MNAOSHABIKIA UJINGA !
dio hapo ushangae ivies unaware kubishana name chizi kama we mwenyewe so chizi kwikwikwi a a a a haha nah page wanazijaza kumjadili chizi daaah alafu eti eeh watu anaowatukana wastarabu ivi unawezaje kua mstaarabu mtu mwenyemume na shughuli zako kuchambana ig kweli ...
???
 
Wanawake bwana Hovyo sana , sasa Mushamjua Mange chizi , hana Wazazi , hana wakwe waswahili nyie wenye Maisha yenu mazuri ya staha na Mitandio yenu yanini kushabikia Ugomvi wa chizi ?? Hapo ndipo ninapowadharau Mke wa mtu upo IG unamtukana Mange wewe ni Dent mnagombea Kaka Mkuu wa shule ?? Wanafiki wakubwa si mfanye yenu ? Nyooooo mtu umeona anamashauzi ohoo analaaana pita naye mbali kutwa kumsimanga ni ndugu yenu ?? Akijavua Nguo hadharani nyie mtapata aibu ?? au mtacheka kutwa , hebu leeni Familia zenu bwana , MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI MNAMTUKANA SANA HUKO KWENYE MADUDU YENU YA IG ! OVER :shetani: WAKUBWA WOTE MNAOSHABIKIA UJINGA !

Kama Wewe mwenyewe Mange
 
Jiandaeni na Exclusive show hapahapa JF na jukwaa ni hili hili muda ni saa 9 usiku kwa saa za East Africa.

Hii show inaitwa Is hard to beleive.

Star: Mzee Kimambi, siku nitawatajia kuna mgeni atawaletea hii show na yupo tayari kupigwa ban.

Mjiandae kudownload fasta, wengine hatuna muda wa kuandika gazeti wala kuchamba mavi ya tigo mbovu.

Team popo.... Ukinitagg tu ntakua hewani
 
dio hapo ushangae ivies unaware kubishana name chizi kama we mwenyewe so chizi kwikwikwi a a a a haha nah page wanazijaza kumjadili chizi daaah alafu eti eeh watu anaowatukana wastarabu ivi unawezaje kua mstaarabu mtu mwenyemume na shughuli zako kuchambana ig kweli ...
???

Ngachoka Mie in Frola Voice , haya ohoo Mange Mashauzi nao watu wazima wanaposti saa na cheni za Gold IG ! Kweli unapost Sebule yaani imejaa hata haieleweki ! sasa nayo kama si Mashauzi ni nini vile? Maonyesho ya sabasaba ?? Sijawahi ona kina Nancy sumari na kundi lake wamecomment kwenye ujinga ,na wanachambwa sana why ? sababu hao ndio waliostaarabika , ila yeyote anayebishana na Mange yeye ndiye chizi nambari moja ! Hebu fueni hata Boxer za waume zenu bwana achaneni na ushabiki Maandazi , Ndao zenyewe za Kibongo !

 
wa kushoto huyo mwingine dk mwele anajifanyaga mama ake kumbe alikua mchepuko wa mshua wake

Masikini!Huyo wa kulia ni dada yake le kopoz u know.Hua nasikia anavyojipendekeza kwake.
 
Ukiwa against na tabia chafu ya kimavi unaitwa shabiki maandazi vipi nyie kina mama watu wasima nnaoshabikia matusi mnaitwaje? Mahayawani.....m
 
Jiandaeni na Exclusive show hapahapa JF na jukwaa ni hili hili muda ni saa 9 usiku kwa saa za East Africa.

Hii show inaitwa Is hard to beleive.

Star: Mzee Kimambi, siku nitawatajia kuna mgeni atawaletea hii show na yupo tayari kupigwa ban.

Mjiandae kudownload fasta, wengine hatuna muda wa kuandika gazeti wala kuchamba mavi ya tigo mbovu.

Hahahahaaaa uwiiiiiii ngoja nitegeshe alarm kabisa.
Please Matola usitudissapoint ankal wangu!
 
Last edited by a moderator:
sio mange huyu ila ni mtu wake karibu sana huyu mi nampendaga tu huyu dada sifichi ila ananikera ana matusi huyu nyasamaki usihis najipendekeza kwako wala na ht usiponipenda shauri yako

Hata mimi nakupenda unaonekana Mwanamke kamili kwenye baadhi ya Issues ila kulalia Upande MMoja akisemwa Mange au Wema ndio hapooo hatuongei lugha Moja ! sioni uzuri wa chizi Linda hata siku moja ......anashindana na Mange mpaka anaonyesha kweli Passport ! No No nao machizi tu Anyway maisha tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom