Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ukiona watu wanapost udaku hapa sio kwamba wana miujiza fulani ngoja nikusaidie,kama haupo IG kama mzee mimi tembelea sintah.com,u-turn,udaku specially,umbeya mtupu, na kwa kufupisha muda nenda global pubishers!
Hii ya baba yake Mange kujiuwa kwa aibu ni kabla ya hizi dot com, ni enzi za mikanda ya video ya VHS hata Vcd bado.
Namshangaa sana Mange simmalizi, na hapo amepita shule angekosa shule sipati picha ingekuwaje!!