Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Mrembo bilionea Zari awatesa watoto wa Mange Kimambi

Status
Not open for further replies.
Shoga mambo umepotea....juzi kuna mtu aliweka uzi kulikua na mashtaka juu yako

Nipo shogaaa,,mashtaka yapi hayo alipata msaada sasa si bora angenipigia au akaja kwangu akashtaki huku anakunywa coca yenye jina lake
 
dogy sio mange dogy km shombe flani hv na ile ishu ni ukweli sema madame aliwapatanisha tuu

Kuna yule anaejiita mume wa dogy ndio aliweka picha ya dogy ikionyesha mgongo, huo ushombe usidanganywe na manywele ya salon
 
Kuna yule anaejiita mume wa dogy ndio aliweka picha ya dogy ikionyesha mgongo, huo ushombe usidanganywe na manywele ya salon

siku hizi uarabu wa kunnua tu ht mie nkiutaka kwini elizabeth yangu sina habariii
siku mbili mzunguuu
 
Nipo shogaaa,,mashtaka yapi hayo alipata msaada sasa si bora angenipigia au akaja kwangu akashtaki huku anakunywa coca yenye jina lake

Mliishia kucheka tu ngoja niwekee screen shoot
 

Attachments

  • 1421868246625.jpg
    1421868246625.jpg
    69.8 KB · Views: 382
dogy sio mange dogy km shombe flani hv na ile ishu ni ukweli sema madame aliwapatanisha tuu

Ndo maana sielewi elewi...manake dogy anaonekana yupo bongo.
Halafu nimejiulizaaa...hivi biashara ya UDI ndo hadi safari za Dubai?!!! au ngadaaa?
 
Ndo maana sielewi elewi...manake dogy anaonekana yupo bongo.
Halafu nimejiulizaaa...hivi biashara ya UDI ndo hadi safari za Dubai?!!! au ngadaaa?

Hhhhhhaaaaaaaaaa nami nashangaaa et udi tu
 
Hhhhhhaaaaaaaaaa nami nashangaaa et udi tu

Mhh...ingekuwa rahisi hivyo basi watu wangeenda Dubai kama wanaenda kariakoo...na huo UDI wanapita kuuza SAA ngapi wakati kutwa wako insta kumwaga mitusi?!!

Heri yetu sie tunajulikana team jobless...
 
Mhh...ingekuwa rahisi hivyo basi watu wangeenda Dubai kama wanaenda kariakoo...na huo UDI wanapita kuuza SAA ngapi wakati kutwa wako insta kumwaga mitusi?!!

Heri yetu sie tunajulikana team jobless...

Hhhhhhhaaa yaan insta wameajiriwa halaf na udi wanauza upoooo team.jobless oyeeeeeeeeeee
 
Ndo maana sielewi elewi...manake dogy anaonekana yupo bongo.
Halafu nimejiulizaaa...hivi biashara ya UDI ndo hadi safari za Dubai?!!! au ngadaaa?
udi udi na pafyumu km unachukua jumla unafata tu dubai
ila yule dogi nyokkkoooo
mi shosti tukigombana kuongea mambo simtaki na simsamehi mapema
wale wote malaya tuuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom