Mrembo byongo live on muosha rungu TV show!

Mrembo byongo live on muosha rungu TV show!

Ungekuwa rais je ni jambo gani la kwanza ungefanya

DJ sepetu
1.Ningefuta vyama vya upinzani (I'm sorry chadema ppo)
2. Ningepeleka elimu na maji mkoani nlipotokea
3.Ningefanya mabadiliko makubwa ya kupunguza kodi kwenye mapato na ningekomoa kodi za vtu kama za pombe,sigara,condoms
4.Ningewaongeza mishahara walimu yan ningewapendelea
5.Ningetoa tax holiday,,, asietaka invest Tz na aache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Ningefuta vyama vya upinzani (I'm sorry chadema ppo)
2. Ningepeleka elimu na maji mkoani nlipotokea
3.Ningefanya mabadiliko makubwa ya kupunguza kodi kwenye mapato na ningekomoa kodi za vtu kama za pombe,sigara,condoms
4.Ningewaongeza mishahara walimu yan ningewapendelea
5.Ningetoa tax holiday,,, asietaka invest Tz na aache.

Sent using Jamii Forums mobile app
OK!
Unadhani rais aliye madarakani hapendi kufuta vyama hivi!

DJ sepetu
 
1.Ningefuta vyama vya upinzani (I'm sorry chadema ppo)
2. Ningepeleka elimu na maji mkoani nlipotokea
3.Ningefanya mabadiliko makubwa ya kupunguza kodi kwenye mapato na ningekomoa kodi za vtu kama za pombe,sigara,condoms
4.Ningewaongeza mishahara walimu yan ningewapendelea
5.Ningetoa tax holiday,,, asietaka invest Tz na aache.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko right hata dini inakataza hivi vitu.
 
Back
Top Bottom