Mrembo live interview on muosha rungu show

Mrembo live interview on muosha rungu show

Madolari hebu niambie kuna mapenzi ya kweli jf!?
Kama ikiwa hujaolewa unaweza Ku date humu?Na nani labda couple gani unaikubali zaidi!?
Smart 911 and mohondaw
Shunie and Lee empire
Sakayo and Transcend

DJ sepetu
Suala la mapenzi ya kweli sitaki kulisemea kwa kua hayajanikuta ....ila kudate na mwanaume wa humu hapana siwezi...
Couple nnayoikubali ni ya the bold na niffah
 
Suala la mapenzi ya kweli sitaki kulisemea kwa kua hayajanikuta ....ila kudate na mwanaume wa humu hapana siwezi...
Couple nnayoikubali ni ya the bold na niffah
Hahaha huwez Ku date hapa!!
Je wale wanawake wanao tafuta wachumba humu unaongeleaje issue hiyo!?
Pm yako inatongozwa Mara ngapi kwa wiki let say!

DJ sepetu
 
Wa kiume nae mvutia ni mm na ww alishaniambiga
Hahaha sasa ww ata akikupa utafanyia au umringishie sare sare maua[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji15][emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8]
 
Usecretary!!
Watu husema eti kuwa personal secretary ni sawa Na kuwa nyumba ndogo ya bosi kuna ukweli wowote?
Ulishaombwa rushwa ya aina yeyote hasa ya ngono ili kulinda au kupata ajira?

DJ sepetu
Hapana sijawah ombwa rushwa ya hvyo.....ps kua chakula cha boss au nyumba ndogo ile ni tabia mbaya tu ambayo baadhi yao inawatawala binafsi siamini ktk hilo ........
 
Hapana sijawah ombwa rushwa ya hvyo.....ps kua chakula cha boss au nyumba ndogo ile ni tabia mbaya tu ambayo baadhi yao inawatawala binafsi siamini ktk hilo ........
Ni kweli secretary lazima awe mzuri wa sura Na umbo?
Hebu nieleze muonekano wa zesh wa nje tu!

DJ sepetu
 
Unachelewa sana unatumia dk 3 hadi 4 kujibu swali moja

DJ sepetu
 
Ni kweli secretary lazima awe mzuri wa sura Na umbo?
Hebu nieleze muonekano wa zesh wa nje tu!

DJ sepetu
Mwenye sura yyte anaweza kua ps ili mradi tu awe amesomea fani hyo.....
Mwonekano wa zesh kwa nje ha ha ha ....ni kadogodogo sana yaani ukiniona unaweza hisi nasoma form one ......ni mwembamba....sio mrefu pia sio mfupi ni mweupe lakini sio namba moja....mimi ni mweupe namba mbili ha ha ha
 
Mwenye sura yyte anaweza kua ps ili mradi tu awe amesomea fani hyo.....
Mwonekano wa zesh kwa nje ha ha ha ....ni kadogodogo sana yaani ukiniona unaweza hisi nasoma form one ......ni mwembamba....sio mrefu pia sio mfupi ni mweupe lakini sio namba moja....mimi ni mweupe namba mbili ha ha ha
Hahaha mweupe namba 2 kama shunie!!!
Eenhee kazi inakutosheleza kipato chako!!
Ili kuziba loopholes unafanya ujasiriamali?upi

DJ sepetu
 
Hahaha mweupe namba 2 kama shunie!!!
Eenhee kazi inakutosheleza kipato chako!!
Ili kuziba loopholes unafanya ujasiriamali?upi

DJ sepetu
Kipato hakiwezi kutosheleza .....najishughulisha na kilimo cha matikiti
 
Kipato hakiwezi kutosheleza .....najishughulisha na kilimo cha matikiti
Matikiti aisee!!
Umelima misimu mingapi Na unalimia wapi!
Msimu wa mwisho ulipata net profit ya asilimia ngapi ya mtaji uliotumia!

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom