1.Kwanza product husika unayoiuza,ya kwangu kuna baadhi ya watu hawaifahamu.umesema wewe ni mjasiliamali right??? naomba unitajie challenge unazoziface ili na mimi kama mjasiliamali mdogo pia nijifunze kitu kutoka kwako...
I BLNG 2 JESUS CHRST
Nishalijibu hili mkuuUngepewa Nafasi aliyonayo Magufuli leo hii Ungefanya kitu gan cha Tofauti.?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nishalijibu hili mkuu. Tumsamehe kwa hilo [emoji2] [emoji2] [emoji2]Jitu zima unapewa chance ya kumu-interview mtu mzima, unaacha kuuliza maswali ya ki utu uzima unauliza yale ya kitoto..
"Unapendelea chakula gani" so whaaaaaaat!!! Swali la kipuuzi kabisa..
Tuendelee......
Umesema wewe ni mmojawapo wa vijana wasomi katika taifa hili, nataka kujua elimu yako....
Ni hilo tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
babe love
We mbilikimo wangu sikuhz unalala sana
nna mimba yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani nyie mnavituko qkhaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asante kwa ubaguz nimeshakujua ww ni mbaguz unachagua watu wako mnaojuana kuwajib maswal...kila la heri
Aise wewe inabidi nikufanyie mimi.Na mimi nataka intaviyuu jomoni!
SawaAsante kwa ubaguz nimeshakujua ww ni mbaguz unachagua watu wako mnaojuana kuwajib maswal...kila la heri
Sent from my Android phone
We mnafiki sana we lijamaa!Jitu zima unapewa chance ya kumu-interview mtu mzima, unaacha kuuliza maswali ya ki utu uzima unauliza yale ya kitoto..
"Unapendelea chakula gani" so whaaaaaaat!!! Swali la kipuuzi kabisa..
Tuendelee......
Umesema wewe ni mmojawapo wa vijana wasomi katika taifa hili, nataka kujua elimu yako....
Ni hilo tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena toa hiyo avatar unaidhalilishaJitu zima unapewa chance ya kumu-interview mtu mzima, unaacha kuuliza maswali ya ki utu uzima unauliza yale ya kitoto..
"Unapendelea chakula gani" so whaaaaaaat!!! Swali la kipuuzi kabisa..
Tuendelee......
Umesema wewe ni mmojawapo wa vijana wasomi katika taifa hili, nataka kujua elimu yako....
Ni hilo tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa styl yako ya upendeleo utafka mbal sana bibieSawa
Kiongoz kakunyima nn ambacho hajakupendelea!!kwa styl yako ya upendeleo utafka mbal sana bibie
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
achana nae anachagua maswal ya kujib na ana wa2 wake maalum
Sawakwa styl yako ya upendeleo utafka mbal sana bibie
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Ananikomalia niseme chuo gani na coz gani,nimemtajia coz nkamwambia siwezi kutaja chuo mitaji expose kwa ndugu zangu waliomo humu,Ndio kafikia huko. Muache alalamike,since haniongezei Wala kunipunguzia kitu
Maserati mjibu mtoto wa watu afurahi basi.Asante kwa ubaguz nimeshakujua ww ni mbaguz unachagua watu wako mnaojuana kuwajib maswal...kila la heri
Sent from my Android phone
mambo ya chuo nmeyapotezea na nmeomba page ya fb/insta tuone vp tukusupport kwny biznezz yako ila unakaza.ila yameisha kila la her nmejfunza kitu kuptia wew endelea kuwa na moyo huouoAnanikomalia niseme chuo gani na coz gani,nimemtajia coz nkamwambia siwezi kutaja chuo mitaji expose kwa ndugu zangu waliomo humu,Ndio kafikia huko. Muache alalamike,since haniongezei Wala kunipunguzia kitu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] anatafuta kikiMuuliza na maswali ni kilaz.a sijapata ona
Sent From My Nokia Ya Tochi
Kwa nini unamuita baby?
La chuo amekataa nmemuulza page yke ya fb/insta nione kama naweza kumsapoti kwny biashar nalo amekaza...muach ana wat wake special wa kuwajib wengin sis na makapuku mzee kwa mfano hapo juu kuna mteja anajuana nae na inaelekea biznezz wanafany ila mm kuomba page ya fb/insta imekuwa ktuko..ndo maisha hya mkuu WABAGUZI na WAPENDELEAJI wapoMaserati mjibu mtoto wa watu afurahi basi.
Anaona kama umembagua na unachagua watu wa
Kuwajibu.
Japo sijui ulichoulizwA.
But mtoa mada mbona maserati sio mbguzi. Inategemea swali gani umemuuliza. Kama umemuuliza kam string ya rangi gani am npenda lingerie unategemea upewe jibu gani?