interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Mafisi wapo kila kona
Akiwakimbia kibaruani atawapata kwenye biashara na shughuli nyingine
Kuna mafisi ma supplier wa malighafi (raw materials)
Kuna mafisi Wanunuzi wa bidhaa (soko)
Kuna mafisi Wakusanya kodi
Kuna mafisi wakagua na wadhibiti ubora wa bidhaa
Hivyo popote atakapokuwa ajipange
Lakini kubwa ninaloliona yeye mwenyewe anajiweka katika mazingira ya kukaribisha mafisi
Ufafanuzi Chifu, biashara gani unayoisema wewe? haha hahaaa...Duu kasoma IFM huyu ? Basi kweli anauzoefu na biashara teh teh
Teh teh sina cha kufafanua Chief kile si chuo cha biashara ? Kucheka kwako kumeonyesha umenielewa barabaraUfafanuzi Chifu, biashara gani unayoisema wewe? haha hahaaa...
Kabisa Kaka na kujawa aina ya viburi chungunzima.Hivi urembo unaozungumzia hapa ni upi?
Tako kubwa ndo kipimo chako cha urembo!!?
Sijaona mrembo hapo, naona msichana "aliyejibinua makalio" mwenye kijitako fulani cha kawaida sana.
Nyie mnaowapa "Airtime" hawa dada zetu ndo mnawafanya wazidi kufanya upumbavu wao.
Aisee hawa wachina usipofatilia historical background ya binti yeyote kwa kukutana naye tu mahali na ukaanza kumtongoza itakula kwako, maana sasa hivi karibia 95.9% mabinti wote wana makalio makubwaPosh mwenye mzigo wa maana nyuma.?? >>>>>chines made
Udhaifu wake ushaonekana kuwa ni mwendo mdundo wa "nibipu nikupigie/maji mara moja" kwa jinsi alivyojistukia mwenyewe.kutongozwa lazima kwan asipo ajiriwa ndio ataacha kutongozwa
NAKAZIAAAA....People are obsessed with this ugly booty. Utamu wa ku** sio tako.
Nakusapoti kabisa kwa 100% sababu ni kweli kila Mwanaume anavutiwa na Mwanamke mwenye makalio makubwa???siku hizi kalio ndio uzuri?........
.
aiseee aliesema IQ ya wabongo ni ndogo alikua sahihi
ndugu zetu wachina watakua wanatushangaa sana, haya mambo hawana lakini wanapendana sana.
Kabisa Ng'olo Kantehaya mavitu amebeba huya yanalegea mwisho wa siku inaanzu kuwa mtihani kuyaweka sawa. Mi naendelea kumuangalia anavyotamba saiv. . . .baadae atatumia nguvu nyingi sana kumaintain hilo hali aliyojitengenezea
Ujue ni kweli Mkuu.Duuuh!...? aiseee mbona mnaniua mwenzenu kwa kunivunja sana mbavu kiasi hiki???