Mrembo mwenye umbo matata 'Posh Queen' asema hataki kuajiriwa ili awe free na umbo lake

Mrembo mwenye umbo matata 'Posh Queen' asema hataki kuajiriwa ili awe free na umbo lake

Umenena vyema sana Kaka.
Mafisi wapo kila kona

Akiwakimbia kibaruani atawapata kwenye biashara na shughuli nyingine

Kuna mafisi ma supplier wa malighafi (raw materials)

Kuna mafisi Wanunuzi wa bidhaa (soko)

Kuna mafisi Wakusanya kodi

Kuna mafisi wakagua na wadhibiti ubora wa bidhaa

Hivyo popote atakapokuwa ajipange

Lakini kubwa ninaloliona yeye mwenyewe anajiweka katika mazingira ya kukaribisha mafisi
 
Hivi urembo unaozungumzia hapa ni upi?
Tako kubwa ndo kipimo chako cha urembo!!?
Sijaona mrembo hapo, naona msichana "aliyejibinua makalio" mwenye kijitako fulani cha kawaida sana.
Nyie mnaowapa "Airtime" hawa dada zetu ndo mnawafanya wazidi kufanya upumbavu wao.
Kabisa Kaka na kujawa aina ya viburi chungunzima.
 
Posh mwenye mzigo wa maana nyuma.?? >>>>>chines made
Aisee hawa wachina usipofatilia historical background ya binti yeyote kwa kukutana naye tu mahali na ukaanza kumtongoza itakula kwako, maana sasa hivi karibia 95.9% mabinti wote wana makalio makubwa
 
Siku zote akili za watu wa namna hiyo huwa zipo katika makalio yao.
 
Wale wazee wa picha
31017465_213686899218325_2846213155623796736_n.jpg
38072686_248910872407631_5842976434074681344_n.jpg
43779390_536862676774954_1403528713810806133_n.jpg
44708753_498178544001082_8514130185205000470_n.jpg
imagesVV4DCIQ4.jpg
poshyqueeen1706702023.jpg
 
Apewe uDG wa SSRA ku-cover nafasi yq Irene Isaka CV yake ya Risk management inawafaa wastaafu na waliopoteza ajira
 
Ili dangaji mbona linakuja kasi sana? Au limekosa soko linajipa promo?
 
Back
Top Bottom