interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Umenena vyema sana Kaka.
Mafisi wapo kila kona
Akiwakimbia kibaruani atawapata kwenye biashara na shughuli nyingine
Kuna mafisi ma supplier wa malighafi (raw materials)
Kuna mafisi Wanunuzi wa bidhaa (soko)
Kuna mafisi Wakusanya kodi
Kuna mafisi wakagua na wadhibiti ubora wa bidhaa
Hivyo popote atakapokuwa ajipange
Lakini kubwa ninaloliona yeye mwenyewe anajiweka katika mazingira ya kukaribisha mafisi