Mrembo namba moja nchini(Diva-Loveness-Love) atokwa na machozi baada ya kushuhudia wananchi wakigombania daladala

Hajui kwa hizo mishe hao watu hawapati kisukari pressure na magonjwa mengineyo ili hali watu wa kaliba yake ndiyo yanawasumbua sana maana wako nyoronyoro
 
"mrembo namba moja"๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Okey sawa amesikitishwa, nashukuru kufahamu.
 
Hata mimi niliona watu wanakula mihogo nilisikitika sana aisee. Yaani maisha yangu yote hapa Kariakoo nilikuwa sijawahi kuona mihogo.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hata mimi niliona watu wanakula mihogo nilisikitika sana aisee. Yaani maisha yangu yote hapa Kariakoo nilikuwa sijawahi kuona mihogo.
Ulikuwa huendagi Coco kula mihogo?
 
Her mental condition is getting worse
She needs help
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nimepata picha angekuwa mke wa kidukulilo sijui wangeendana
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mafahari wawili sidhani Kama wangeweza ishi zizi moja Hawa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hata mimi nilivoelezwa Diva kazaliwa Tanga nilimuonea huruma na nilisikitika sana maana atadanga milele.
 
Tanga mbona hakunaga adha ya usafiri?au alienda Tanga maporini huko kwa yule mganga wake?
 
diva aje asome hizi comment zake aisee....๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ