Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Mrembo richaabra live interview on muosha rungu show!

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko ukinipeleka nipeleke na Lee wangu peke yangu siwezi kwenda ujue
Lee muache bhana.
msalimie akitia maguu hapa ataweka mnuno tena[emoji28]
 
Mpaka ninunue IPhone 7 hii wereva haikai na charge interview itaishia njiani buree[emoji28] [emoji28]
Afu list ndefuuu zamu yangu badooo
Halaf interview zake ujue hazina mda maalum wa kuisha unaweza ukalala kesho anaingia kwenye uzi anaendelea kukuuliza aisee sijawahi ona mimi interview ya hivyo
 
Ilikuwa mdogo sana mnafundishwa non huko

DJ sepetu
Mkoleni huwa huwa msichana anapelekwa baada ya kuvunja ungo huwa tunawekwa ndani kwa muda wa miezi 2 hadi 3, huku tukifundishwa mambo mbalimbali kama kujitambua kama msichana , kuwa na nidham na jinsi ya kuishi vuzuri na watu bila kusahau mtoto wa kike kufundishwa namna ya kuishi na mwanaume na siku ya kutoka nnje huwa tunachezwa ngoma huku tumezungukwa na watu vifua na chuchu zikiwa wazi
 
Nimechezwa ngoma mkoleni nikiwa na miaka 15 ilikuwa uzaramoni msanga huko..kikubwa kilichoninufaisha mkoleni ni kufundwa na kufundishwa maadili mema pia bila kusahau ufundi wa kumkatikia vizuri mtoto wa kiume thats why mimi huwa siachwi na mwanaume labda niamue mwenyewe kumuacha[emoji108] [emoji108] [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumkatikia mwanaume.
 
Mkoleni huwa huwa msichana anapelekwa baada ya kuvunja ungo huwa tunawekwa ndani kwa muda wa miezi 2 hadi 3, huku tukifundishwa mambo mbalimbali kama kujitambua kama msichana , kuwa na nidham na jinsi ya kuishi vuzuri na watu bila kusahau mtoto wa kike kufundishwa namna ya kuishi na mwanaume na siku ya kutoka nnje huwa tunachezwa ngoma huku tumezungukwa na watu vifua na chuchu zikiwa wazi
Je ukishafunzwa hayo mambo ya kukatika utazingatia shule kweli!?
Maana practical inahitajika

DJ sepetu
 
Nimechezwa ngoma mkoleni nikiwa na miaka 15 ilikuwa uzaramoni msanga huko..kikubwa kilichoninufaisha mkoleni ni kufundwa na kufundishwa maadili mema pia bila kusahau ufundi wa kumkatikia vizuri mtoto wa kiume thats why mimi huwa siachwi na mwanaume labda niamue mwenyewe kumuacha[emoji108] [emoji108] [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumkatikia mwanaume.
 
Picha ili tuone iyo shepu
4162907a0f202f9d889fa110e8be97bd.jpg
 
Mkoleni huwa huwa msichana anapelekwa baada ya kuvunja ungo huwa tunawekwa ndani kwa muda wa miezi 2 hadi 3, huku tukifundishwa mambo mbalimbali kama kujitambua kama msichana , kuwa na nidham na jinsi ya kuishi vuzuri na watu bila kusahau mtoto wa kike kufundishwa namna ya kuishi na mwanaume na siku ya kutoka nnje huwa tunachezwa ngoma huku tumezungukwa na watu vifua na chuchu zikiwa wazi
Nasikia binti anawekwa kwenye mabega kifua wazi na baba akiwa anashuhudia neema jinsi bolibo zilivyokomaa.
Ni kweli?
 
Nimechezwa ngoma mkoleni nikiwa na miaka 15 ilikuwa uzaramoni msanga huko..kikubwa kilichoninufaisha mkoleni ni kufundwa na kufundishwa maadili mema pia bila kusahau ufundi wa kumkatikia vizuri mtoto wa kiume thats why mimi huwa siachwi na mwanaume labda niamue mwenyewe kumuacha[emoji108] [emoji108] [emoji108]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha weeeeeh richaabra
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom