Huyu Interviewee sijawahi kukutana naye popote hapa jamvini ila nimeshangaa DJ sijui kamuopoa wapi.Me nilijua Ulweso ni mwanaume khaaa[emoji15] [emoji15] samahan dada angu
Kama ni kibinadamu ni kusamehe maisha yaendelee!!Sio kuamini, lakini dunia ina mambo mengi na sio wote wanapenda mlivyo na wao pia wanaweza kuwa wanampenda, anaweza safiri au akawa na watu wengine akashindwa kuji control, linaweza tokea kibinadamu
Kama mimi wazazi walivyonilea nami napenda wawe hivyo japo mazingira ya sasa yametofautiana lakini nitajitahidi nikimshirikisha MunguUnatamani watoto wako wawe vipi?!
HongeraHapa nilipo na biashara yangu nataka niongeze pia Mungu akijalia nipate sehemu niwe mfugaji na ukulima pia
Kupigwa kunauma asikwambie, [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tuyaache wangu anapenda kuambiwa ukweli na kama nimekosea nawahi kuomba msamaha yanaisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupigwa muoga sanaWanasema kupiga mwanamke ni njia ya kumfundisha.Nini maoni yako?
Na je,wewe umeshawahi kupigwa?
Hapana, ilikuwa kwenye uzi mwingine
Hahahahaha DJ atakua aliimasta ipasavyo CJM au BAMC huyu ana data zawatu humu ni balaa usishangae hata zinazokuhusu wewe anazo ila wewe huzijuiHuyu Interviewee sijawahi kukutana naye popote hapa jamvini ila nimeshangaa DJ sijui kamuopoa wapi.
Pongezi kwa DJ kutuletea mgeni haswaa machoni mwetu
Aendelee kuwa mme nababa bora, kuwa mkweli na zawadi huwa namnunulia sana nakumbuka baada kuolewa nilinunua shati alifurahi sanaKama ni kibinadamu ni kusamehe maisha yaendelee!!
Unategemea kumwona vipi mumeo baada ya miaka kadhaa ijayo?! Kipi unafanya kuhakikisha ndoa yako inakuwa imara?! Ushawahi mnunulia mumeo zawadi?!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kaniopoa humu humu mkuu MwifwaHuyu Interviewee sijawahi kukutana naye popote hapa jamvini ila nimeshangaa DJ sijui kamuopoa wapi.
Pongezi kwa DJ kutuletea mgeni haswaa machoni mwetu
In marafiki jf Wa ukweli!Kupigwa kunauma asikwambie, [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tuyaache wangu anapenda kuambiwa ukweli na kama nimekosea nawahi kuomba msamaha yanaisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupigwa muoga sana
Usisahau kuwaombea kila leo maana kwa akili zetu hatuwezi!!Kama mimi wazazi walivyonilea nami napenda wawe hivyo japo mazingira ya sasa yametofautiana lakini nitajitahidi nikimshirikisha Mungu
Yaani hata sioni njia kilichobaki ni kupambana na hali zetu, ila heshima makazini kidogo imerudiunaiona wapi Tanzania baada.ya miaka mitano ulweso
Hongera mamyAendelee kuwa mme nababa bora, kuwa mkweli na zawadi huwa namnunulia sana nakumbuka baada kuolewa nilinunua shati alifurahi sana
Nashukuru kwa kuitikia wito maana ndio njia ambayo imenifanya nikujue na wewe unijue kwa huu ufake wetu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kaniopoa humu humu mkuu Mwifwa
Unajua mkiishi vema kwa uwazi na ukweli unamjua mwenza vizuri, hapo lazima ujue kazi zake muda gani anakuwa fresh kila siku si ijumaa kama ninauwezo wakumsubili miezi zaidi ya 10 iweje hiyo nyingine nisivumilie?Kwanini wanawake wanalalamika kutolidhishwa kimapenzi hasa uwanjani!!
Wewe unakabiliana nalo vipi!