Unafiki na umbea, yaani kama nimekukwaza niambie tu kwa uzuri tutaelewana vizuriUlweso kitu gani kinakukera jf?
Hauoni kuwa huitendei haki taaluma yako!.[emoji28] [emoji28] [emoji28] ufupi sio shida sasa mie niwe mfupi na mwenza mfupi sasa tutoa nini kama si vigoda? Lakini angepatika na akawa muwazi na kweli mambo yangekuwa safi, ujasiliamali nilipokuwa nimemaliza sec.nilijifunza ushonaji na kabla ya kwenda chuo nilipata kazi kidogo, hapohapo nikiwa chuo nikakutana na mchumba tulipo oana baada ya chuo tulipanga iwe hivyo nijiajili ili nitulie familia yangu au nipate muda wa kucare family
Umewahi kumsifia mwanamke mwenzako?Unafiki na umbea, yaani kama nimekukwaza niambie tu kwa uzuri tutaelewana vizuri
Lol mwanamke na familia yake huyo that's great.... Like like like[emoji28] [emoji28] [emoji28] ufupi sio shida sasa mie niwe mfupi na mwenza mfupi sasa tutoa nini kama si vigoda? Lakini angepatika na akawa muwazi na kweli mambo yangekuwa safi, ujasiliamali nilipokuwa nimemaliza sec.nilijifunza ushonaji na kabla ya kwenda chuo nilipata kazi kidogo, hapohapo nikiwa chuo nikakutana na mchumba tulipo oana baada ya chuo tulipanga iwe hivyo nijiajili ili nitulie familia yangu au nipate muda wa kucare family
Usijali tunataka tuwe na afya wala usihofu[emoji39] [emoji39] [emoji39] mie mswano tuHahahahahhahaaha kwa Smart nimetoa mfano tu mamiii... Au kwakua nimemetolea mfano wa mwanaume lol sorii ... Basi kwakua huna mambo mengi humu kama Lebig dada Money Penny tehtehteh
Cc Smart911
Hapana kuna vinginevyo vimo humo nilivyovisomea kwahiyo nasongesha tuHauoni kuwa huitendei haki taaluma yako!.
Ujasiliamali umekupa nn ambacho Kazi ingekuwa ngumu
Ndiyo aliyefanya kitu kizuri lazima nimsifieUmewahi kumsifia mwanamke mwenzako?
Unaichukuliaje hii dhana ya wengi kwamba wanawake hatupendani?Ndiyo aliyefanya kitu kizuri lazima nimsifie
Amen
[emoji849]Hata mimi was not juaring uuuu Ile serious ila DJ Sepetu kwa data zawatu humu tu... aaaaaaaaaaaaaaaaaaa Soon Nitakusoma [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Seems huna mambo mengi wala show off sana kama akina Smart911 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Cc Smart911
Asante sana mamiii siunajua Sisi wanawake maungo yetu afanye fanye wakati nyonga bado teke mambo ya kwenda leba kuchambwa na manesi wee bibi sikuzote ulikua wapi mpaka kiuno kimekaza hivi sio mazuri mamyKwakweli afanye hima kila raheri [emoji1] [emoji1]
Kwakweli ni mengi sana, kwanza anajali sana na kunisikiliza, hahaha lakumuuzi duu kuna siku nilitoka japo nimeaga sasa bwana jamu la dar si nikachelewa na funguo ninazo mwanaume alichaluka bahati nzuri shemela naye alikuja hapo kwetu ikabidi nimwambie atulie mpaka nifike ili aokoe msala maana hali ya hewa ilichafukaMme amewahi kukufurahisha zaidi kwa jambo gani
Lini umewahi muuzi zaidi
Hiyo ni dhana tu japo wapo kila mtu na huruka yake mie kumsifia mtu nampa pongezi zake na najifunza yeye kafika vipi paleUnaichukuliaje hii dhana ya wengi kwamba wanawake hatupendani?
Hahahahaha... Wewe si umeniamsha mwenyewe mi nilikua nimelala zangu nami nakuchokoza makusudi. teh Kesho jumapili ntashinda najikandaaaaaaa ikikomaa feni ipoooo [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji12] [emoji12][emoji849]
Unajua hasira zangu nitazimalizia wapi...
Mpaka ushindwe kutembea asubuhi...
Umesema una watoto!Kwakweli ni mengi sana, kwanza anajali sana na kunisikiliza, hahaha lakumuuzi duu kuna siku nilitoka japo nimeaga sasa bwana jamu la dar si nikachelewa na funguo ninazo mwanaume alichaluka bahati nzuri shemela naye alikuja hapo kwetu ikabidi nimwambie atulie mpaka nifike ili aokoe msala maana hali ya hewa ilichafuka