Hapo unatulia tu mtaka chauvunguni sharti uiname ni matusi ya muda hata wao hupitia huwa wanajishaua tuAsante sana mamiii siunajua Sisi wanawake maungo yetu afanye fanye wakati nyonga bado teke mambo ya kwenda leba kuchambwa na manesi wee bibi sikuzote ulikua wapi mpaka kiuno kimekaza hivi sio mazuri mamy
Cc Smart911
Wanasema kupiga mwanamke ni njia ya kumfundisha.Nini maoni yako?Hiyo ni dhana tu japo wapo kila mtu na huruka yake mie kumsifia mtu nampa pongezi zake na najifunza yeye kafika vipi pale
Kama mimi nilivyolelewa japo mazingira ni tofauti lakini nawapa kile nilichofundishwa na wazazi wanguUmesema una watoto!
Je unawaleaje ili wakue vyema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hapana mkuu ni agricultureNaomba ufafanuzi kwenye elimu ya chuo isije kuwa Zion collage au eagle wings umesoma alafu unasema chuo
Ndiyo hivyo mamito jifanye mjinga ili upate chako chema basi
Asante sana [emoji120] [emoji120]Poa poa mama shujaa wa chakula
Duu sisi huwa atufichani kabisa kila kitu chetu sote yaani hapo kwenye kuficha nilisha shindwa kabisaKipato chako unamshirikisha mumeo vipi
Au chako chako!
Kucheat [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Kila mwanadamu hukosea na msamaha ndo nguzo ya mojawapo kwenye ndoa, ni kosa gani mumeo akilifanya litakuwa gumu kusamehe?!
Hahaha [emoji1] [emoji1] [emoji1] mrembo fulani hivi mweupe kiasi wa asili ni kimwili mwili hivi [emoji4] [emoji4] [emoji4]Me nilijua Ulweso ni mwanaume khaaa[emoji15] [emoji15] samahan dada angu
Naomba kuuliza swali ulweso hili jina lina maana gani?? Uliwaza nini mpaka ukaamua kulitumia humu?? Make nami nilipata kizungumkuti just by name I thought wewe una mashine kumbe we belongs under the same category kila mwezi tehtehMe nilijua Ulweso ni mwanaume khaaa[emoji15] [emoji15] samahan dada angu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio maana DJ yupo kuweka mambo sawa[emoji23] [emoji23]