kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 325
mmh papuchi zinalipa sana kwakweli
Ebu niuzie yako,unataka kiasi gani???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh papuchi zinalipa sana kwakweli
Ebu niuzie yako,unataka kiasi gani???
... Msingi kiuno...
Braaaa! Alafu boyfriend wake utakuta umemsindikiza airport.....
Hua nampenda Vera no matter what! Na leo kazidi kunifurahisha kwenye baadhi ya chats zake hapo.Ana 'kijiheshima' kidogo na anajijali.
Strictly. ...SITAKI MASWALI.
namie nashida nazo nkupm au umemuekea vera tu,?
ngoja nchangamke namie npate picha za kuweka insta...ndo maana nashangaa kina hudda, masogange kila siku wanatupia tu picha wako mahotel mazuri ila hakuna picha ya ofisini kumbe ofisi kiuno mjini patamu
Katika wooote walioamua kuniuliza maswali ya kipuuzi nimekaa kimya ila nimeona bora nikujibu wewe maana umenikera kupitiliza.Lazima nikuulize maswali ndio wewe nini umeamua kujipa promo?
Usisahau kunitag huo ubuyu wa moto!Ngojeni kidogo na mimi nitawawekea za Lulu hapa .
Chezea wewee ofis kiuno mi nilishangaa ujue picha za uchi ,picha kwenye mahoteli ya ukweli kumbe mtu yupo biasharaniii h
Wewe mtoto keshakuwa angalia usimbemende.
Hhhaaaaaaa anzia nawe $16000 bana alaaaaa
Kuna watu wana hela halafu hawana cha kuzifanyia, $15,000 kwa sababu ya ngono? Bado umlipie go-return ticket business class, umlishe, umnyweshe kisa ngono ya siku nne. Hii dunia ina maajabu yake kwa kweli, mwingine anafuta shilingi mia tano ya kula, mwingine analipwa milioni 27,572,820.00 kwa ngono ya siku nne.
papuchi ya.bei hiyo ndo inakua na GB ngapi ha ha ha
hivi corazon.ig anatumia jina gani
bye bye next week naenda dubai