Mrembo Vera Sidika apata aibu kubwa, Meseji zake akichat na Mwanaume kupatana bei kuduu zimetolewa

Mrembo Vera Sidika apata aibu kubwa, Meseji zake akichat na Mwanaume kupatana bei kuduu zimetolewa

Hua nampenda Vera no matter what! Na leo kazidi kunifurahisha kwenye baadhi ya chats zake hapo.Ana 'kijiheshima' kidogo na anajijali.
Strictly. ...SITAKI MASWALI.

Lazima nikuulize maswali ndio wewe nini umeamua kujipa promo?
 
ngoja nchangamke namie npate picha za kuweka insta...ndo maana nashangaa kina hudda, masogange kila siku wanatupia tu picha wako mahotel mazuri ila hakuna picha ya ofisini kumbe ofisi kiuno mjini patamu

Wewe mtoto keshakuwa angalia usimbemende.
 
Lazima nikuulize maswali ndio wewe nini umeamua kujipa promo?
Katika wooote walioamua kuniuliza maswali ya kipuuzi nimekaa kimya ila nimeona bora nikujibu wewe maana umenikera kupitiliza.
Mimi kumpenda Vera ndio tuwe sawa kitabia? Yeye ana maisha yake mimi nina yangu! Pia hayo ndio maisha yake aliyojichagulia....i.e siwezi kumbadilisha.
Unaweza kunieleza ni kipi kilichokufanya useme kua najipa promo? Kwa nani? Ili iweje?
 
ngojaaaa na mimi ni mtafuteee....nimepigaaa helaaa angu hapa mereraniii ngojaa nikanunue ngomaa
 
Kuna watu wana hela halafu hawana cha kuzifanyia, $15,000 kwa sababu ya ngono? Bado umlipie go-return ticket business class, umlishe, umnyweshe kisa ngono ya siku nne. Hii dunia ina maajabu yake kwa kweli, mwingine anafuta shilingi mia tano ya kula, mwingine analipwa milioni 27,572,820.00 kwa ngono ya siku nne.

weee unachukuliwa kideo mwenzio anaenda kuuza
anapata faida kubwa kuliko aliyokulipa
 
Kifungu cha katiba: Mtu ana uhuru wa kufanya au kwenda kokote atakapo ili mradi havunji sheria.
 
Back
Top Bottom