Mrembo Vera Sidika apata aibu kubwa, Meseji zake akichat na Mwanaume kupatana bei kuduu zimetolewa

Mrembo Vera Sidika apata aibu kubwa, Meseji zake akichat na Mwanaume kupatana bei kuduu zimetolewa

Duuh vera namzimiaga uyu ila iyo rangi ya Sasa mvuto umenipungua kwake
Sahivi anakuja na brand ya chupi mkae mkao wa kuzivaa
 
nkienda dubai next.wiki ntarudi nayo...nkuletee???au wapenda zile za mbuta nanga??
nlikua namuulizia corazon yule ana lifiga matata...anatumia id gani ig

Ukiniletea ya Mbuta Nanga nakununia........lete hiyo hiyo kama ya Vera.......pa kuiweka ninapo.......lazima ikae.......
 
15,000 usd ni kama milioni ishirini

unaenda dubai

na unapigwa protected sex

hakuna demu yeyote wa mjini hapa angekataa ofa hii hakuna


wanajichetua tu hapa lol

Think also of the risks for breach of contract ughaibuni!. Recently wasichana wa kikenya walifikishwa mahakamani kwa kufanya ngono na mbwa. In short when it comes to agreeing a price for a service it doesn't matter any more the amount nor the place other than the risks involved. kwamba umeuza manzese au dubai, ni biashara ileile. Wali wa mama lishe soko la karume may be same with that served at serena, but pricing have lot of factors considered.

What I mean is that people should address this business in general not vera and her $15, 000 deal as a person. Maana wanaonunua za laki tano za kiTZ na kuwatoa outing wakina xxx hapa TZ wasijione kuwa wao ni bora kuliko vera na huyo mnunuzi wa dubai.
 
Jamaa huyo atakua na visima vya mafuta lakini hata awe na nini hizo $15,000 ni nyingi sana, hizo hela wengine wanakopa benki wengine wanahonga....duuuhhh

Hata waliolamba za rugemalila (a.k.a escrow) hizi wanatoa tu
 
Hua nampenda Vera no matter what! Na leo kazidi kunifurahisha kwenye baadhi ya chats zake hapo.Ana 'kijiheshima' kidogo na anajijali.
Strictly. ...SITAKI MASWALI.

Aiseee,sasa mbona yale mambo matamu ya kidigitari hataki?,mihela yote nilipe bila kupata ile kitu kweli?...ameniuzi kweli..
 
Aiseee,sasa mbona yale mambo matamu ya kidigitari hataki?,mihela yote nilipe bila kupata ile kitu kweli?...ameniuzi kweli..
Hahahaaa, hicho ndicho kinachonifanya nimkubali sasa.Bado ana maadili yetu ya kiafrika huo uzungu wenu sijui digital ni big NO!
Pia anajiprotect.Mengine tumuachie mwenyewe bwana ndio lifestyle yake.
 
Hahahaaa, hicho ndicho kinachonifanya nimkubali sasa.Bado ana maadili yetu ya kiafrika huo uzungu wenu sijui digital ni big NO!
Pia anajiprotect.Mengine tumuachie mwenyewe bwana ndio lifestyle yake.

Ni kweli kuiga kila kitu ni ujinga...
 
ngoja nchangamke namie npate picha za kuweka insta...ndo maana nashangaa kina hudda, masogange kila siku wanatupia tu picha wako mahotel mazuri ila hakuna picha ya ofisini kumbe ofisi kiuno mjini patamu

Hahhahaha. ....... ofisi kiuno?!!!
 
Vitunguu utazeeka tu

Ngada siku hizi miaka 30 daini bilioni

Heri biashara ya K,
$15,000 na haachi alama wala haiishi


Wakwetu.........bora ipi sasa........kuuza bangi/ngada.........au bodee.......maana kote kuna mihela mizito........
Nimechoka kulima vitunguu.........
 
Hivi huyo asingekuwa na hiyo ...... angefanya shughuli gani hapa duniani ya kumpatia riziki yake?

Halafu $15,000 kwa ......? Ina nini hiyo ........ ndani yake? Ina marumaru?
 
nimei follow hii account ni noma aiseeeee.............,

mastaa kibao wameingizwa mkengee.. chezea pesa
 
Hahahaaa, hicho ndicho kinachonifanya nimkubali sasa.Bado ana maadili yetu ya kiafrika huo uzungu wenu sijui digital ni big NO!
Pia anajiprotect.Mengine tumuachie mwenyewe bwana ndio lifestyle yake.

Nani anakudanganya akifika rum atatoa 0719 tu mana sasa hivi bei y papuchi imeshuka wa2 wanataka mtandao pendwa.malaya wote wanajua hilo akiuza papuchi anaweza lala njaa istoshe hata hawa we2 kina flani nao walewale wanafumuliwa 2 tena akiingia 2 rum anakuuliza una ky au durex👌👌ndio habari y mujini
 
Wadada fanya kupita ladytiger_fashions instagram na Facebook ujionee vya ukweli kuanzia beach, club, ofisini, casual hadi vya ukweni
Kaka wapendezeshe uwapendao... Umaridadi huficha umasikini njoo huku hutojutia... Ni dhambi mbaya kukosa kuvutia na suluhisho lipo
 
Nani anakudanganya akifika rum atatoa 0719 tu mana sasa hivi bei y papuchi imeshuka wa2 wanataka mtandao pendwa.malaya wote wanajua hilo akiuza papuchi anaweza lala njaa istoshe hata hawa we2 kina flani nao walewale wanafumuliwa 2 tena akiingia 2 rum anakuuliza una ky au durex👌👌ndio habari y mujini
Astaqafirullah! Haya bwana mie hayo siyajui kila mtu atauonja moto wake wa Jehhanam kivyake.
 
Back
Top Bottom