Mrembo Vera Sidika apata aibu kubwa, Meseji zake akichat na Mwanaume kupatana bei kuduu zimetolewa

Mrembo Vera Sidika apata aibu kubwa, Meseji zake akichat na Mwanaume kupatana bei kuduu zimetolewa

15,000 usd ni kama milioni ishirini

unaenda dubai

na unapigwa protected sex

hakuna demu yeyote wa mjini hapa angekataa ofa hii hakuna


wanajichetua tu hapa lol
 
15,000 usd ni kama milioni ishirini

unaenda dubai

na unapigwa protected sex

hakuna demu yeyote wa mjini hapa angekataa ofa hii hakuna


wanajichetua tu hapa lol

Mtaji kabisaa
 

Attachments

  • 1427211230932.jpg
    1427211230932.jpg
    60.1 KB · Views: 366
Last edited by a moderator:
bora huyu anauza nyama adimu kuliko anayeuza unga na anauficha kwenye k.
 
Ni huyu hapa....... Evelyn Salt.......hiyo andaweya najua huna..........

nkienda dubai next.wiki ntarudi nayo...nkuletee???au wapenda zile za mbuta nanga??
nlikua namuulizia corazon yule ana lifiga matata...anatumia id gani ig
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wana hela halafu hawana cha kuzifanyia, $15,000 kwa sababu ya ngono? Bado umlipie go-return ticket business class, umlishe, umnyweshe kisa ngono ya siku nne. Hii dunia ina maajabu yake kwa kweli, mwingine anafuta shilingi mia tano ya kula, mwingine analipwa milioni 27,572,820.00 kwa ngono ya siku nne.

Jamaa huyo atakua na visima vya mafuta lakini hata awe na nini hizo $15,000 ni nyingi sana, hizo hela wengine wanakopa benki wengine wanahonga....duuuhhh
 
Back
Top Bottom