Hiyo video ya kweli au changamsha genge tu
Inasemekana, tukio ni la kweli.Hivi hiyo video ni tukio la ukweli au ni prank?
nilistuka mapema sanadronedrake π€£π€£
Na figo wanadonate walahπ€£nilistuka mapema sana
wajinga bado wanapigwa
Inaweza kuwa ni maelekezo maana bongo kwa kupenda kiki.Hivi hiyo video ni tukio la ukweli au ni prank?
nilistuka mapema sana
wajinga bado wanapigwa
Braza....jf mmepangwa wangapi???ππππππ
View: https://youtu.be/ZFv4jnFh-Pg?si=jHxgMeMiFpAmN2Rj
Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.
Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.
Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.
Chanzo: Global TV Online.
Uko sahihi!Wadada wa mjini wanapenda sana publicityInaweza kuwa ni maelekezo maana bongo kwa kupenda kiki.
Huyo mwenzenu nae hakutaka kumpa mrembo tu Hilo gari,, masharti kama mganga wa kienyeji, Extrovert umeona huku
View: https://youtu.be/ZFv4jnFh-Pg?si=jHxgMeMiFpAmN2Rj
Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.
Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.
Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.
Chanzo: Global TV Online.