Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?


View: https://youtu.be/ZFv4jnFh-Pg?si=jHxgMeMiFpAmN2Rj

Wakuu kama bando lipo ingia hapo uone ni jinsi gani dunia inakwenda kasi.

Short description kwa wasio na bundle;
Jamaa aliamua kumzawadia girlfriend wake anayemaliza chuo kwa sharti moja tu, " Ataje jina la mpenzi wake. Binti kumbe ana msururu wa mabwana hivyo kashindwa kutaja jina sahihi, kamtaja bwana Beni kumbe sio Beni aliyetoa zawadi ya gari.

Ndipo tulipo na mahusiano ya kisasa. Vijana mna kazi sana kutafuta walau wadada wenye nafuu, hii mbinu nimeikubali.

Chanzo: Global TV Online.

Angepatia bado kuna jamaa angekata rufaa
 
Yani Chelsea ntampigia mpira mkubwa sana na atajuta
huna uwezo wa kumpigia Chelsea mpira mkubwa mpaka sasa Chelsea Ndio inaongoza kwa katengeneza nafasi nyingi za magoal, team ambayo imefungwa magoal machache shida ilikuwa ni finish tu ila kwenye match tatu hizi tumekuwa wazuri wakutumia nafasi
 
huna uwezo wa kumpigia Chelsea mpira mkubwa mpaka sasa Chelsea Ndio inaongoza kwa katengeneza nafasi nyingi za magoal, team ambayo imefungwa magoal machache shida ilikuwa ni finish tu ila kwenye match tatu hizi tumekuwa wazuri wakutumia nafasi
....jumapili baada ya mechi ntakuja hapa lazma nije nikunafikie kidogo
 
Nilimuulia binti yangu jana, naye alikuwa anagraduate.
Akaniambia ni kweli.
Nikamwambia ''Usije ukathubutu, nitakuvunja miguu mwenyewe nikipeleke polisi''
Asisubutu ku recodiwa au kuwa na masela wengi?
 
Ila amejidhalilisha huyu binti.. heri angekaa kimya asitaje kama anajijua ana wapenzi wengi.

Na inaonyesha kanadanga na wenye hela wote.


Sema walimjaza upepo hadi akataja.


Bf alivyopigiwa simu sasa
Binti kusikia tu sauti akapanic,, jamani
Uaminifu ni kitu cha bure.
 
Nilimuulia binti yangu jana, naye alikuwa anagraduate.
Akaniambia ni kweli.
Nikamwambia ''Usije ukathubutu, nitakuvunja miguu mwenyewe nikipeleke polisi''

Kama ni kweli basi ni ujinga wa kiwango cha juu kwanza kwa hao wanaurusha kitu kama hicho, pili ni aibu kwa wazazi wa binti ingawaje ameshakuwa mkubwa...
 
Back
Top Bottom