Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

Mrembo wa chuo akosa zawadi ya gari kwenye mahafali yake. Binti zetu mmekuwaje?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo wewe Maria, Glenn Professor na ERoni Thomas afu tukana kaka fure me Lulu diva [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya jua kali
Subiri kwanza, naangalia kwa kuibia sana...Thomas ni yule mwenye midevu? Kwa hiyo nina midwvu vile, halafu nalilia mapenzi kindezi vile 🤣🤣
 
raraa reree hiyo milikes yako nishakwambia igeuze msg za imethibitishwa mbona tunashindwa kuelewana lkn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA
Ungeandika Chelsea kumtandika Arsenal Ndio ina sound poa au ulipiga moja baridi wakati unaandika comment yako
 
Back
Top Bottom