ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri kwanza, naangalia kwa kuibia sana...Thomas ni yule mwenye midevu? Kwa hiyo nina midwvu vile, halafu nalilia mapenzi kindezi vile 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo wewe Maria, Glenn Professor na ERoni Thomas afu tukana kaka fure me Lulu diva [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndani ya jua kali
😂😂😂😂 ndioSubiri kwanza, naangalia kwa kuibia sana...Thomas ni yule mwenye midevu? Kwa hiyo nina midwvu vile, halafu nalilia mapenzi kindezi vile 🤣🤣
😂😂😂😂Daaah Maria jamani ni nomaaa hapana 🤦🤦
Umejitetea shemeji Hadi raha🤣Hakuwahi kuwa baby wangu, nilikuwa mbioni na hata sikukubaliwa wallah!
About turn!wa nyuma mbele,wa mbele nyuma au sio?Ni mwendo wa kubadilishana tu 😁😁😁
Kabisa dada no stressAbout turn!wa nyuma mbele,wa mbele nyuma au sio?
Jamaa kaamua kuamua liwalo na liweHuyo demu mhuni tu...kwa Nini amtaje baba ake? Kwani boyfriend wake hamjui? Eti privacy, mtu anakununulia gari unamficha? Demu ana msururu sema bac tu jamaa ana mpenda
Weka LIPA NAMBA sasa 😄raraa reree hiyo milikes yako nishakwambia igeuze msg za imethibitishwa mbona tunashindwa kuelewana lkn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yup haitotokea.Hongera, kama ni kweli unastahili zaidi na zaidi...wenzio wana foleni ya kujaza coaster
Weka LIPA NAMBA sasa [emoji1]
Nizipatie wapi 😄 nimenyoosha mikono juu 🖐😄[emoji23][emoji23][emoji23] Leo umepata pesa?
Niko tiyari nimalize miaka 3 bila kuliko kuwa sehemu ambayo najuwa moyo haupo.Sema hakyanani, one boyfriend ata a time, hata nyie mpo vizuri wa funguo moja moja!
Nizipatie wapi [emoji1] nimenyoosha mikono juu [emoji870][emoji1]
Usifanye hivyo kuna mchongo hapa nausikilizia 😄Sasa lipa namba unaitaka ya nini?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe me nachana barua yako ya uchumba
Ungeandika Chelsea kumtandika Arsenal Ndio ina sound poa au ulipiga moja baridi wakati unaandika comment yakonilijua tu kuna mtu lazima alete uzi wa hii stori ....stori ambazo hazina tija wala maana yoyote
Badala tujadili vitu vya muhimu kama ni jinsi gani ya kulitongoza lishangazi na likuazime hata laki 2 wikiendi ukale bata huku ukiangalia ARSENAL akimtandika CHELSEA